TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Hajawahi kuwaona wakenya na wanigeria huyo.

Mi sioni kama kujisifia ni dhambi useme Tu wahaya wakijisifia wanajiona inferior mbele ya wahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnajiamini nini hakuna kitu babu yenu Julius aliwakomboa msimezwe na Idd amini sasa hivi mngekuwa sehemu ya Uganda km mngelinga ivo??? lazima tu . mngekiona cha moto na lile jamaa li-IDD Lilikuwa korofi sana halioni shida kuteketeza kabila zima. kama unabisha waulize Wa-acholi. na Wa-Hindi walivopata kichapo cha mbwa mwizi. mngeimba Amin sikamoo Baba eeetu! Ushauri tu hii coffin ingeanzia kuagwa mwitongo ndani ya Butiama hapo mpate baraka yaani msife tena. si mjaribu tuuu!!
 
RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.

Source Clouds tv!
Na muda ukifika Mungu atamwambia akiri kuwa yeye ni Daud Albert Bashite aliyepata division zero kwenye mtihani wa kidato cha nne na siyo Paul Christian Makonda
 
Kwani Mungu huwa anazungumza naye?
RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.

Source Clouds tv!

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
kimada mpaka wanazalishanaaaa
Wewe mwana weeee,kila mutu ya hapa Duniani Hapa walianza ukimada, ndo wakaendelea na ndoa zenu hizo sasa wewe jifanye msabato kwa sana upate total hysterectomy au uvimbe wa kudumu afu upigwe chuma cha Bagamoyo huchomoki kamwe. bongo ya leo uoe bila kuonja. kwanza mke mwenyewe huyo, unaye muita kimada atakustukia mapemaa asije akaolewa na joka la kibisa.hapo safi sana kamanda alicheza winga uzuri
 
Guilt consciousness
Atataabika sana
Young man WaTz wanajua unyama wako. Umekosa utu kabisa kwa WaTz
Time will tell
Malipo yako kwa Mungu
Unaopigana nao wanapigana vita vya kiroho sio vya damu na nyama
Roho wa Mungu ni uvuli kwao wao uliowatendea mabaya
Stop acting dude this is serious issue...

***RIP Ruge uwe na safari njema Mungu akupokee Tuonane mtoni!
 
Pumzika kokote ulipo Ruge, nimegundua kuwa sio lazima uwe Mbunge ndio utumikie wananchi! Waliotoka kimaisha kupitia kwake wanaelewa nlichokiandika. Nasi tujitahidi kuishi maisha yatakayoacha alama mioyoni kwa watu wengi. Mbele yetu nyuma yake....
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam ,Paul Makonda amemlilia Ruge machozi kama mtoto ndogo wakati wa shughuli ya kumuaga marehemu Katika ukumbi wa diamond Jubilee .Tukio hili limetokea muda mfupi uliopita ,takribani SAA moja iliyopita hivyo kuwashangaza watanzania, kwani bifu la makonda na Ruge linafahamika na kila mtu .Sasa buku kumlilia marehemu ambaye una uhusiano naye mbovu kimeshangaza sana .
Hata kwa Lisu angefanya namna hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nikusaidie ili siku nyingine kama hujui uulize.
Tulijadili sana hapa hilo Tangazo waliweka kuanzia Global Tv, Geita Tv na eFM/tvView attachment 1036098View attachment 1036099

Haikuishia hapo hata za wasafi Tv pia zililetwa humuView attachment 1036100
Na kama humjui huyo Juhayna basi huyu hapa
View attachment 1036101
Cc Titicomb
Nimeshaeleza toka awali hiyo document ya mangd kimambi sihiitaji na huyo juhayna mkurugenzi wa prime time promotion namfahamu vyema sana.
.
Leta document ambayo umeitoa kwenye tovuti ya TCRA hapa wewe mwenyewe naona hapo umeleta Efm na geita tv nataka za wasafi
 
angemuua na ile mitutu ya bunduki inagekuaje? acha mujitoa akili kipumbav wewe?
Uliambiwa makonda alienda kuua mtu?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Back
Top Bottom