smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Mnajiamini nini hakuna kitu babu yenu Julius aliwakomboa msimezwe na Idd amini sasa hivi mngekuwa sehemu ya Uganda km mngelinga ivo??? lazima tu . mngekiona cha moto na lile jamaa li-IDD Lilikuwa korofi sana halioni shida kuteketeza kabila zima. kama unabisha waulize Wa-acholi. na Wa-Hindi walivopata kichapo cha mbwa mwizi. mngeimba Amin sikamoo Baba eeetu! Ushauri tu hii coffin ingeanzia kuagwa mwitongo ndani ya Butiama hapo mpate baraka yaani msife tena. si mjaribu tuuu!!Hajawahi kuwaona wakenya na wanigeria huyo.
Mi sioni kama kujisifia ni dhambi useme Tu wahaya wakijisifia wanajiona inferior mbele ya wahaya
Sent using Jamii Forums mobile app