TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Pole nyingi kwa wafiwa na RIP Ruge..

Ni kweli kabisa Mkuu mleta bandiko..

Familia hii ni wastahimilivu sana.

Yani kwenye msiba mnakaa na MUUWAJI wa kijana wenu bila kumbughudhi kwa namna yoyote ile, Ustaarabu mkubwa sana huu..

Ila jamaa tako ana roho yake mwenyewe aisee..kutokuwa na chembe ya aibu mahala kama pale lazima atakuwa alishafanyiwa surgery na mshipa wa aibu uliondolewa Mwilini kwake siku nyingi.
 
Full Stop and Long Break
Hizo ni hukumu za kibinadamu, Mungu yeye hukumu zake ni za kweli na haki. Yakobo:4.11
"Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.
Yakobo:4.12
Mtoa sheria na mwenye kuhukumu ni mmoja tu, ndiye awezaye kuokoa na kuangamiza. U nani wewe umhukumuye mtu mwingine?"


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole nyingi kwa wafiwa na RIP Ruge..

Ni kweli kabisa Mkuu mleta bandiko..

Familia hii ni wastahimilivu sana.

Yani kwenye msiba mnakaa na MUUWAJI wa kijana wenu bila kumbughudhi kwa namna yoyote ile, Ustaarabu mkubwa sana huu..

Ila jamaa tako ana roho yake mwenyewe aisee..kutokuwa na chembe ya aibu mahala kama pale lazima atakuwa alishafanyiwa surgery na mshipa wa aibu uliondolewa Mwilini kwake siku nyingi.
Umenikumbusha Tarime kwenye msiba wa Chacha Wangwe hali ilikuwa tofauti kabisa!
 
Sijajua umetumia means gani kupanga akina bush, blair na obama then osama,sadam na ghadaffi. Nlidhani kwa busara ungesema tu anybody can go to hell as well as to heaven.

Kutaja akina ghadaff et al maana yake unajenga picha kuwa ni watu waovu ambao wanaweza kuwa mbinguni kwa mshangao.

Sijajua umetumia akili gani ku conclude kuwa ruge ameingia peponi straight...sijui umetumia kitabu gani. Matendo yako ndiyo yanakupeleka mbinguni au motoni. Kama ilivyoandikwa kifo mara moja na baada ya kifo hukumu.

Unakumbuka hadithi ya tajiri na maskini lazaro?basi wengi kama ambavyo umewaza wewe walidhania angeenda mbinguni straight... Haikuwa hivyo.

Pascal mambo ya dini sidhani kama unayafaham....yaani biblia kibiblia na quran ki quran.

MTU AKIFA MATENDO YAKE NDIYO YATAKAYO MHUKUMU. Lakini ni kweli pia akifa mwenye dhambi HAIJALISHI ATAKUJA KUOMBEWA NA ASKOFU,KARDINALI,PAPA,MCHUNGAJI,MTUME,JOPO LA MAPADRE AU WACHUNGAJI.HAIJALISHI.

Huyo mtu ataenda ANAPOSTAHILI. ndo maana HATA RUGE NASEMA ROHO YAKE MUNGU ATAIWEKA PANAPOSTAHILI.

Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
 
Kaka hapa kidogo leo nimeingia ukakasi na maandishi yako, nadhani swala la peponi au motoni ni la kiroho ndani ya mtu, naweza saidia watu na bado nisiwe na roho safi.
Roho Safi ni NN ?
 
OG mbona ni Mange kabisa,hilo halina ubishi japokuwa anajitahidi kufool watu. Ila faida gani sasa,huku anamnanga zama kule main anamtetea. Halafu Mange inaonyesha kishatemwa na yule mzungu. Ila natamani mange arudi kwenye siasa walau alikuwa anaishake serikali.
Yule mzungu mapikipiki kaishakula kona kali, kitambo sana ndo maana stress zimerudi upyaa!

Sipatagi picha alilotuchezea kuhusi ile gari alikodisha akajifanya mzungu kamnunulia daah[emoji849][emoji849][emoji849][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom