Ruge Mutahaba anaumwa nini?

Sio kama anafurahia yy ameuliza tu kama unalo jibu mjibu.
 
Wapi nimemdhihaki mkuu, me nimeuliza kwa njia njema tu kutaka kujua kulikon mtani wangu huyu kadhoofika namna hii?
 
NI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
Hv kwa nn mnapenda sana kutumia hili neno laana kuhukumu wengine?
 
Freedom of speech haiko na maana kwa watu wa hivi. mtu unafurahia vipi matatizo ya binadamu mwenzio [emoji849]
Acha unyoko let them talk huo ndo Uhuru wa kuongea
Kuumwa ni kawaida na kumzungumza mgonjwa ni kawaida pia haijalishi ni kwa ubaya au uzuri
 
Nimepita mahali nikamuona huyu jamaa kama vile amedhoofika sana kiafya.
Anasumbuliwa na nin?
Mkuu lengo la kutaka kujua siri ya ugonjwa wake ni nini hasa? Ugonjwa wa mtu ni siri yake na daktari anayehusika na matibabu yake.
 
Ivi lini tutajifunza ustaarabu wa kuheshimu privacy za wenzetu yaani kabisa na akili timamu anakomaa kutaka kujua fulani anaumwa nini alafu sijui akijua anafanya nini.
 
Acha unyoko let them talk huo ndo Uhuru wa kuongea
Kuumwa ni kawaida na kumzungumza mgonjwa ni kawaida pia haijalishi ni kwa ubaya au uzuri
nyoko ****** yako. halafu lazima uone ni kawaida si umezoea Ku discuss matatizo ya watu na kufurahia kama vile wewe utakuwa hupati matatizo. Halafu kama huwezi kuchangia bila kutukana naomba usini quote usinisababishe matatizo mimi.
 
Umewahi kuona ajali imetokea sehemu? Watu wanakimbilia kama kuna karamu. Wakikuta vifo na majeruhi ''wanahuzunika'' na hata wengine wanalia. Lakini wakikuta hamna majeruhi wala vifo wanarudi huku wanasonya na kutukana kuwa wamepoteza muda wao! Wewe umewasoma vizuri wabongo.
 
Wapi nimemdhihaki mkuu, me nimeuliza kwa njia njema tu kutaka kujua kulikon mtani wangu huyu kadhoofika namna hii?
Sasa kama ni mtani wako si ingekuwa busara ukamfuta, ukampa pole na kumuuliza? Hapa ulipoleta siyo mahali sahihi.
 
Aaaa wapi!
Adui zangu wote wafe wao na kizazi chao milele yote walahi!
Believe me nilifanya hiyo mistake ya kuwapenda na kuwaombea, nilicho ambulia ikawa mbaya zaidi, sasa wafe tu na vizazi vyao milele yote walahi!
That’s all
Aisee...Hell On Earth
 
nyoko ****** yako. halafu lazima uone ni kawaida si umezoea Ku discuss matatizo ya watu na kufurahia kama vile wewe utakuwa hupati matatizo. Halafu kama huwezi kuchangia bila kutukana naomba usini quote usinisababishe matatizo mimi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ulivyokasirika sasa
Pole limeniponyoka tu huwa situkani watu mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…