Ruge Mutahaba anaumwa nini?

Aaaa wapi!
Adui zangu wote wafe wao na kizazi chao milele yote walahi!
Believe me nilifanya hiyo mistake ya kuwapenda na kuwaombea, nilicho ambulia ikawa mbaya zaidi, sasa wafe tu na vizazi vyao milele yote walahi!
That’s all
Kwa nn ndugu waingie kwenye mkumbo ilihali hawajui magonvi yenu.!!?
 
Kwa nini kuleta mzaha kwenye ugonjwa wa mtu.
Nadhani ilikuwa busara kumpa pole na kumwombea uponyaji
Tusijisahau sana sote ni binadamu Leo kwake kesho kwako
Tuwe waungwana wajameni
Umenena vyema kabisa Boss RUGE
 
[emoji106]
 
nasikia jamaa kwa fimbo ni hatari..anasimsmia kucha,najua sifa zile hazitokani na nguvu za asili bali mitishamba ya kihaya...kama ni figo badi mitishamba inarejesha majibu
 
Duuuh
 
Aaaa wapi!
Adui zangu wote wafe wao na kizazi chao milele yote walahi!
Believe me nilifanya hiyo mistake ya kuwapenda na kuwaombea, nilicho ambulia ikawa mbaya zaidi, sasa wafe tu na vizazi vyao milele yote walahi!
That’s all
mi adui zangu siwaombei kufa, bali nitawaua mwenyewe
 
Si kweli kama anaumwa anaumwa tu yeye na si kwa ajili eti ya mikopo au wafanyakazi,mbona boss wake anakula kuku Dubai na anazidi kuumuka,mwenye mali asiumwe wewe kibarua ndio uugue wapi na wapi bana
 
ni muhaya mwenzake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…