Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha..sawa sawa Captain ilikua ikifika hilo eneo anaanza mastori ya mastoryNi zamani kidogo! Sema G anapenda sana kitonga!
I know him,through my brother,tumekutana sana na G pale Tripple Seven,G kwenye bills hanaga kabisa ushirikiano! Lakini kwenye kuagiza Jarger Master ni wa kwanza
POint ya mleta mada wife alivyokufa na yeye baada ya mwaka akafaKibonde alikua na mke. Walikua wanakaa external Dar.
Kwa sababu punyeto inasababisha misuli ya uume kusinyaa na hivyo kuwa kibamia. Jitahidi usaidiwe dogo au u mchicha mwiba? Hakuna mwanaume rijali na mwenye akili timamu anajisifia kupiga nyeto.umejuaje ?
hee unanipangia nini cha kufanya na mb<><> yangu siyo ?Kwa sababu punyeto inasababisha misuli ya uume kusinyaa na hivyo kuwa kibamia. Jitahidi usaidiwe dogo au u mchicha mwiba? Hakuna mwanaume rijali na mwenye akili timamu anajisifia kupiga nyeto.
Kwa kila mfano wa, ndoa, mbaya,IPO ndoa nzuri,Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.
Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.
Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.
Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.
Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.
Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.
Bila ndoa hutoboi 50
We nawe utakuwa unapumuliwa. Yaani ulimwengu wa sasa ulivyo na watoto wazuri hivi kama huyu binti Konda wa Kimbinyiko ya kutoka Mbeya kwenda Dodoma leo alafu we una kazi ya kutusumbua humu na punyeto. Pumbavu kabisa. Jamaa yupo sahihi, una shida wewe ya kiakili. Maskini mkubwa.hee unanipangia nini cha kufanya na mb<><> yangu siyo ?
nyie t0mb3ni inatoshaWe nawe utakuwa unapumuliwa. Yaani ulimwengu wa sasa ulivyo na watoto wazuri hivi kama huyu binti Konda wa Kimbinyiko ya kutoka Mbeya kwenda Dodoma leo alafu we una kazi ya kutusumbua humu na punyeto. Pumbavu kabisa. Jamaa yupo sahihi, una shida wewe ya kiakili. Maskini mkubwa.
Jamaa wanataka waku..... na wewe kwa maana hutaki ku..... so wataku..... wewe.😀😃😄😁😆 kaza tako dogo acha ubwabwa.nyie t0mb3ni inatosha
hamjui tu nyeto ilivyo tamuJamaa wanataka waku..... na wewe kwa maana hutaki ku..... so wataku..... wewe.😀😃😄😁😆 kaza tako dogo acha ubwabwa.
Sana aiseee! Bills zikija! Jamaa anaanza story za hapa na pale! Tumuombee pumziko jema tuHahahahaha..sawa sawa Captain ilikua ikifika hilo eneo anaanza mastori ya mastory
Hatari sanaKabla ya kuwa na Jide alikuwa na mama mmoja alikua na Duka linaitwq Tanrose pale Shoppers , ndio akingia clouds na kuwa na Jide
Kabisa R.I.P Captain wa Gemu ..Sana aiseee! Bills zikija! Jamaa anaanza story za hapa na pale! Tumuombee pumziko jema tu
Nimepapenda hapa! 😀 😀 😀Nimetoa sample ndogo ya hawa kaka zetu ili sisi team kataa ndoa tupate kujifunza.
Kwa umaarufu wao wasingekosa hela ya kulipia bill hospitali, kwa umaarufu wao wasingekosa watu wa kuwapunguzia damu endapo ingehitajika, kwa umaarufu wao wasingekosa mtu wa kuwaletea uji hospitali, hata wangetaka mtu wa kuwapa figo wangepata.
Ruge alionekana kuwa happy na maisha yake japo kuna tetesi alikuwa anamchumbia Nandy.
Kibonde alikuwa ametoka kufiwa na mke wake mwaka mmoja ulliopita.
Gardna yeye amekuwa bachelor kwa miaka zaidi ya kumi.
Funzo tulilopata,hawa jamaa waliishi maisha yao na furaha usoni ilionekana, hawakutaka kuoa kufurahisha mtu.
Hawakuendekeza ndoa ila walihakikisha wamezaa watoto ili kuendeleza uzao.
Sio lazima kuishi miaka mingi 50 tu inatosha, kikubwa timiza kilichokuleta duniani, hao mabroo hakuna aliyevuka 51.
Bila ndoa hutoboi 50
Sawa officer inchargePOint ya mleta mada wife alivyokufa na yeye baada ya mwaka akafa
Hebu ngoja ninawe uso mbona km sioni vizuri!! Ni huyu huyu shosti yangu aliyeandika hii comment au namfananisha??tomba sana, gambe sanaa tungi kwa sana yan kila aina ya anasa pita nayo
ac yangu waliihack sio mmHebu ngoja ninawe uso mbona km sioni vizuri!! Ni huyu huyu shosti yangu aliyeandika hii comment au namfananisha??
Kumbe nilikuwa sijui kusudi ndio hilo mkuu😁 nilijua ni kuishi kama kristo au maisha ya kristo kama ambavyo tunaelezwa na mihimili ya imani na dini.Maana yake enjoying the life to its fullest: kula vzuri, vaa pendeza, ishi kwny nyumba quality, take a vacation, push ndinga kaliiiiiiiiiii, have plenty of money, be stressfree etc!!
Thats on another level shieyt!!!😁tomba sana, gambe sanaa tungi kwa sana yan kila aina ya anasa pita nayo
Kuna vitu umetumia leo 🤣ac yangu waliihack sio mm