Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

Kwa kila mfano wa, ndoa, mbaya,IPO ndoa nzuri,
Bil nas, na, Nandi, mwanafa, mzee mengi, Samuel Sita, lowasa, lisu wote hawa wana ndoa na, zipo poa
 
hee unanipangia nini cha kufanya na mb<><> yangu siyo ?
We nawe utakuwa unapumuliwa. Yaani ulimwengu wa sasa ulivyo na watoto wazuri hivi kama huyu binti Konda wa Kimbinyiko ya kutoka Mbeya kwenda Dodoma leo alafu we una kazi ya kutusumbua humu na punyeto. Pumbavu kabisa. Jamaa yupo sahihi, una shida wewe ya kiakili. Maskini mkubwa.
 
nyie t0mb3ni inatosha
 
Nimepapenda hapa! 😀 😀 😀
 
Maana yake enjoying the life to its fullest: kula vzuri, vaa pendeza, ishi kwny nyumba quality, take a vacation, push ndinga kaliiiiiiiiiii, have plenty of money, be stressfree etc!!
Kumbe nilikuwa sijui kusudi ndio hilo mkuu😁 nilijua ni kuishi kama kristo au maisha ya kristo kama ambavyo tunaelezwa na mihimili ya imani na dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…