Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Ziko sababu nyingi zilizochangia kudorora kwa sekta ya uandishi habari mmoja wapo aliyechangia ni Ruge mutahaba aliyekua mkurugenzi wa vipindi wa clouds
Mwanzo mwa miaka ya 2000's wakati clouds haina mda mrefu kuanzishwa kabisa kiongozi wa kipindi hiki ruge mutahaba alikuja na idea ambayo mpaka leo imeharibu tasnia ya habari vibaya mno unamuajiri mtu ambaye ni superstaa kuwa mwandishi wa habari ilihali hajawahi kusomea yaani hajui ABC za uandishi wa habari hata kidogo yaani hawana elimu na aliendelea na huo utamaduni wa kuajiri watu masupstaa kama watangazaji ilihali hawana hio taaluma huku watu wakimsifia kuwa ni genius
Ruge mutahaba alitumia gharama kubwa sana kuondoa professionalism kwenye tasnia ya habari kwa kufikiria malengo ya mda mfupi na ku-ignore madhara ya mda mrefu ambayo tunayaona leo
Matokeo yake kuanzia miaka ya 2006's media nyingine zikaanza kuiga clouds mfano times baada ya kumuona marehemu dida anaigiza kaole wakamchukua kama mtangazaji marehemu dida ukimsikiliza unaona kabisa hapo kichwani ni empty ila ni mtangazaji hana ethics za uhandishi wa habari.
Miaka ya 2010's media nyingi zikaanza kufuata kile ruge alichoanzisha mwanzon mwa miaka ya 2000's mpaka tulipofika leo hii tuna wapiga kelele wengi unajiuliza masanja, ricardo momo, mpoki, n.k wamesomea uandishi wa habari wapi
Serikali ifanye namna irekebishe makosa ya ruge sababu yameivuruga sekta ya habari sana
Mwanzo mwa miaka ya 2000's wakati clouds haina mda mrefu kuanzishwa kabisa kiongozi wa kipindi hiki ruge mutahaba alikuja na idea ambayo mpaka leo imeharibu tasnia ya habari vibaya mno unamuajiri mtu ambaye ni superstaa kuwa mwandishi wa habari ilihali hajawahi kusomea yaani hajui ABC za uandishi wa habari hata kidogo yaani hawana elimu na aliendelea na huo utamaduni wa kuajiri watu masupstaa kama watangazaji ilihali hawana hio taaluma huku watu wakimsifia kuwa ni genius
Ruge mutahaba alitumia gharama kubwa sana kuondoa professionalism kwenye tasnia ya habari kwa kufikiria malengo ya mda mfupi na ku-ignore madhara ya mda mrefu ambayo tunayaona leo
Matokeo yake kuanzia miaka ya 2006's media nyingine zikaanza kuiga clouds mfano times baada ya kumuona marehemu dida anaigiza kaole wakamchukua kama mtangazaji marehemu dida ukimsikiliza unaona kabisa hapo kichwani ni empty ila ni mtangazaji hana ethics za uhandishi wa habari.
Miaka ya 2010's media nyingi zikaanza kufuata kile ruge alichoanzisha mwanzon mwa miaka ya 2000's mpaka tulipofika leo hii tuna wapiga kelele wengi unajiuliza masanja, ricardo momo, mpoki, n.k wamesomea uandishi wa habari wapi
Serikali ifanye namna irekebishe makosa ya ruge sababu yameivuruga sekta ya habari sana