Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Kama kuna tasnia ambazo ziko taabani Mojawapo ni ya uandishi wa Habari na utangazaji.
Wamebaki kiwa machawa tu Basi!
Ni huzuni kwa kweli
Wamebaki kiwa machawa tu Basi!
Ni huzuni kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe clauds ni media ndogo apa tz!?!?Anamaanisha hizo media zingine zenye viongozi wenye weledi kwanini waige mfumo wa Ruge wa media ndogo?
Hapo mwenye tatizo Ruge au walio iga kwake?
Kifupi wengine wajitathimini.
Ndogo wakati Ruge anaanza kuajiri none professional radio presenters wakati huo.Kumbe clauds ni media ndogo apa tz!?!?
Inasikitisha sanaZembwela,
Wasanii wa bongo muvi Sijui bongo fleva , wachekeshaji wale wa Joti na wenzie,
Yaani masihara kwa kweli