Ruge Mutahaba ndiye aliyeharibu tasnia ya uandishi habari hapa Tanzania

Ruge Mutahaba ndiye aliyeharibu tasnia ya uandishi habari hapa Tanzania

Endelea kuamini kwenye ujinga na kuidharau elimu
Sisi wengine tutaendelea kuamini kwemye professionalism
Nchi iko hivi kwa asilimia kubwa kwa sababu hakuna profesionalism
Wapi nimesema uamini ujinga ? Hivi kati yangu mimi na wewe ambaye ameonyesha ujinga ni nani ? Wewe umeleta story za pundits wengi UK wamecheza mpira mimi nikakuonyesha kwamba ambao wamefanya better ni wale wenye talent ya social skills (mtu kama Paul Scholes can never make a good pundit) mtu kama Michael Owen ambaye sifa yake kuu ilikuwa kuongea Pumba au Kevin Keegan highly emotional they can never make good pundits no matter what...

Nikaendelea kukuelewesha sasa hivi kuna Content on demand kwahio wewe kama mlaji kama utaendelea kula hayo unayoita makapi wakati kuna content bora hilo ni kosa lako binafsi... Na kuanza kuwapangia watu media zao jinsi ya kuondesha media zao wakati barrier of entry ya kuanzisha media sasa hivi ni almost negligent hio kwa lugha nyingine ni Police State na kurudi nyuma as of now sasa hivi Citizen Journalists ndio majority wa wahabarishaji duniani... Na dunia ishakua kijiji ukiona huko nje ndio kuna news worth consuming unaweza kufanya hivyo.... (Information at your Fingertips)
 
Sio kila mchezaji mzuri lazima apitie academy, wapo players wazuri hawakupitia academy. Muhimu ni uwezo wako na passion ya kile unafanya
Wachezaj wote ulaya wamepitia academy acha uongo

Wakina, mzize, kibu dennis n.k hawajapitia academy angalia basic skills za mpira zinavyowasumbua
 
Wapi nimesema uamini ujinga ? Hivi kati yangu mimi na wewe ambaye ameonyesha ujinga ni nani ? Wewe umeleta story za pundits wengi UK wamecheza mpira mimi nikakuonyesha kwamba ambao wamefanya better ni wale wenye talent ya social skills (mtu kama Paul Scholes can never make a good pundit) mtu kama Michael Owen ambaye sifa yake kuu ilikuwa kuongea Pumba au Kevin Keegan highly emotional they can never make good pundits no matter what...

Nikaendelea kukuelewesha sasa hivi kuna Content on demand kwahio wewe kama mlaji kama utaendelea kula hayo unayoita makapi wakati kuna content bora hilo ni kosa lako binafsi... Na kuanza kuwapangia watu media zao jinsi ya kuondesha media zao wakati barrier of entry ya kuanzisha media sasa hivi ni almost negligent hio kwa lugha nyingine ni Police State na kurudi nyuma as of know sasa hivi Citizen Journalists ndio majority wa wahabarishaji duniani... Na dunia ishakua kijiji ukiona huko nje ndio kuna news worth consuming unaweza kufanya hivyo.... (Information at your Fingertips)
Content yenye demand ipi kwa Tanzania watu kuongelea mpira mda karibia wote, mapenzi na mziki ndo unasema content yenye demand kazi ipo
 
Wachezaj wote ulaya wamepitia academy acha uongo

Wakina, mzize, kibu dennis n.k hawajapitia academy angalia basic skills za mpira zinavyowasumbua
Unajua vizuri soccer? Unafatilia vizuri au umeamua tu kukurupuka?

Wapo wachezaji wakubwa ulaya hawakupitia academy, mfano: Leroy sane, ngolo kante, Jamie vardy, miloslav klose, Didier drogba n.k

Sasa uniambie hao hawana skills?
 
Content yenye demand ipi kwa Tanzania watu kuongelea mpira mda karibia wote, mapenzi ndo unasema content yenye demand kazi ipo
Sio content yenye Demand (ila hata ningekuwa nimesema hivyo umeshajijibu mwenyewe) kwamba wanaongelea mpira muda karibia wote (kwahio ni kwamba kuna demand ya mpira ndio maana watu wanawalisha mpira) Ingawa sijamaanisha hilo leo hii nimekwambia kuna Content ON Demand..., Yaani content yoyote ile tayari ipo kwenye vidole vyako ni jukumu lako kujipakulia wakati wowote ule na kuchagua kuchuja na hata kuangalia upande wa pili....

Kwahio sasa hivi information ipo at your fingertips; na Media zote za Asili zinapumulia mashine sababu audience ni ya kubembeleza hususan kama chombo chako kina overheads kinahitaji wafadhili (sponsors) na kama unacholisha kina watu wachache ni TBC pekee ndio inaweza kukipakua hicho sababu inapokea Ruzuku na inatakiwa kutoa Habari zenye tija kwa Jamii (Kuhabarisha na Kufundisha); Ingawa hata kama wao hawatoi mlaji kutokujitafutia hizo kwenye Karne hii ni makosa ya mlaji
 
Kila kitu kikifanywa na machoko kinakuwa cha hovyo! Hovyo!
Huwezi chukua waropokaji kisa ni maarufu kwa kuongea 'uchafu' akufanyie kazi, na weledi upatikane
Yawezekana ndio maana wanaotakiwa vituo vya nje kutangaza kwa Kiswahili ni Wakenya, na wanafanya vizuri
 
Nisikilizeni.

Naomba hao wote wasio na ABC za journalism wakusanywe wapelekwe kwa paskali mayalla awapige msasa.

NB: Mr baa la njaa tunamdharau lakini hapa umuhimu wake uanaonekana.
 
Sio kweli. Amina Chifupa tumemaliza nae form six mwaka mmoja na alikuja chuo nilichokuwepo akasoma Basc Certificate pamoja na Ben Kinyaia na Alex Lwambano aliyemaliza Diploma. Wakati huo alikuwa akiletwa na gari ya Mpakanjia GX 100 imeandikwa nyuma Kitendawili. Hivyo ABC za Journalism alipata
Hivi alikula Four au zero vile?
Matokeo yake yalikuwa gumzo kwenye magazeti ya udaku na mitandaoni.
 
Kitenge sio kwamba ni professional kabsa sio rahisi ITv kwa miaka 2010 waakajiri mtu asiye na kisomo cha hyo taaluma

Yote kwa yote (habari nayo ni biashara kama biashara nyingine) ni bidhaa ambayo marketing managers wameona sisi walaji unapenda vitu vyepesi na vya burudani zaidi ndio maana wapo wengi tu wasio na Profesional hzo media zinazoajiri wenye professional Zina ingiza thamani gani ya mauzo? Nikikuuliza

tunachoangalia kipi kinauza na Wakina na nani wanaweza kurise revenue. Ndo maana nawaona hao kina baba levo n. K

2.Hivi hujawahi sikia shule zinanunua wanafunzi bright Ata 20 il kufanya shule isifike inafundisha vizuri na inakuwa na walimu ambao Sio walimu by Profesional? Unakuta mtu ni mhasibu. Ila anafundisha Economics
Kuna combination ya sababu
1. Wenye media kuajiri vilaza
2. Serikali kushindwa kusimamia na kuongoza
3. Walaji kuwa na upeo mdogo na kutaka habari nyepesi.
 
Wapi nimesema uamini ujinga ? Hivi kati yangu mimi na wewe ambaye ameonyesha ujinga ni nani ? Wewe umeleta story za pundits wengi UK wamecheza mpira mimi nikakuonyesha kwamba ambao wamefanya better ni wale wenye talent ya social skills (mtu kama Paul Scholes can never make a good pundit) mtu kama Michael Owen ambaye sifa yake kuu ilikuwa kuongea Pumba au Kevin Keegan highly emotional they can never make good pundits no matter what...

Nikaendelea kukuelewesha sasa hivi kuna Content on demand kwahio wewe kama mlaji kama utaendelea kula hayo unayoita makapi wakati kuna content bora hilo ni kosa lako binafsi... Na kuanza kuwapangia watu media zao jinsi ya kuondesha media zao wakati barrier of entry ya kuanzisha media sasa hivi ni almost negligent hio kwa lugha nyingine ni Police State na kurudi nyuma as of now sasa hivi Citizen Journalists ndio majority wa wahabarishaji duniani... Na dunia ishakua kijiji ukiona huko nje ndio kuna news worth consuming unaweza kufanya hivyo.... (Information at your Fingertips)
Uko sahihi kwa kiasi lakini serikali ni lazima itoe mwongozo na kusimamia kwenye sehemu muhimu kama uandishi wa habari. Kinachotokea Tanzania sasa hivi wa kulaumiwa kwanza ni serikali.
 
Ziko sababu nyingi zilizochangia kudorora kwa sekta ya uandishi habari mmoja wapo aliyechangia ni Ruge mutahaba aliyekua mkurugenzi wa vipindi wa clouds

Mwanzo mwa miaka ya 2000's wakati clouds haina mda mrefu kuanzishwa kabisa kiongozi wa kipindi hiki ruge mutahaba alikuja na idea ambayo mpaka leo imeharibu tasnia ya habari vibaya mno unamuajiri mtu ambaye ni superstaa kuwa mwandishi wa habari ilihali hajawahi kusomea yaani hajui ABC za uandishi wa habari hata kidogo yaani hawana elimu mfano amina chifupa na aliendelea na huo utamaduni wa kuajiri watu masupstaa kama watangazaji ilihali hawana hio taaluma huku watu wakimsifia kuwa ni genius

Ruge mutahaba alitumia gharama kubwa sana kuondoa professionalism kwenye tasnia ya habari kwa kufikiria malengo ya mda mfupi na ku-ignore madhara ya mda mrefu ambayo tunayaona leo

Matokeo yake kuanzia miaka ya 2006's media nyingine zikaanza kuiga clouds mfano times baada ya kumuona marehemu dida anaigiza kaole wakamchukua kama mtangazaji marehemu dida ukimsikiliza unaona kabisa hapo kichwani ni empty ila ni mtangazaji hana ethics za uhandishi wa habari.

Miaka ya 2010's media nyingi zikaanza kufuata kile ruge alichoanzisha mwanzon mwa miaka ya 2000's mpaka tulipofika leo hii tuna wapiga kelele wengi unajiuliza masanja, ricardo momo, mpoki, n.k wamesomea uandishi wa habari wapi

Serikali ifanye namna irekebishe makosa ya ruge sababu yameivuruga sekta ya habari sana
Kwani Ruge alikuwa na cheo gani kwenye Wizara ya Habari ?
 
Uko sahihi kwa kiasi lakini serikali ni lazima itoe mwongozo na kusimamia kwenye sehemu muhimu kama uandishi wa habari. Kinachotokea Tanzania sasa hivi wa kulaumiwa kwanza ni serikali.
Ukiipa serikali nafasi ya kusimamia vyombo vya habari ni sawa na kumuambia Tembo aingize mkonga tu kwenye hema, lazima ita overreach.
 
Ukiipa serikali nafasi ya kusimamia vyombo vya habari ni sawa na kumuambia Tembo aingize mkonga tu kwenye hema, lazima ita overreach.
Kwani unadhani hata nchi ambazo zenye demokrasia serikali haitoi miongozo na kusimamia media? Serikali ikiwa na viongozi wenye maono haitahangaika na na sensorship za kuminya uhuru wa habari bali itatoa miongozo na kusimamia mambo ya maana kama media ethics etc. Mambo kama kulinda watoto wadogo, kulinda walaji na habari za utapeli... privacy za watu etc...
 
Uko sahihi kwa kiasi lakini serikali ni lazima itoe mwongozo na kusimamia kwenye sehemu muhimu kama uandishi wa habari. Kinachotokea Tanzania sasa hivi wa kulaumiwa kwanza ni serikali.
Ndio maana tuna chombo cha Taifa TBC; hao tunawapa Ruzuku na wanakula Pesa zetu kwahio huko ndio kuwe sehemu ya vitu serious na vya kufundisha vyenye ustawi no matter hata kama havina watazamaji hence kuweza kurushwa bila sponsors.

Point yangu sio kwamba mimi binafsi naangalia au nasikiliza redio / tv yoyote bali kwa sasa hivi sina uhitaji sababu naweza kupata habari yoyote wakati wowote as summary au kwa kuchagua wapi pa kuipata (huku nikielewa fika duniani sasa hivi 95 percent ya habari ni fake news) hivyo ninachuja mwenye kwa kutumia common sense na kufanya due dilligence (tukianza kuwapangia watu cha kusema ni kutoka kwenye reli so long as hicho wanachosema wanakisema ili mkono uende kinywani hivyo wanaangalia soko lao linataka nini)

That said ukiongelea kina BBC, na CNN hizo ni giant medias in the world kwahio kulinganisha na Bongo ni kupotoka sababu wanachukua creme de la creme dunia nzima; pia hata wao binafsi kuna saa wanazingua sababu media nyingi zimekuwa propaganda machines ambazo ni bias..., That said hata ulaya upuuzi ni mwingi, hizi Big Brother zilianzia Ulaya ambapo mtu na kazi zako unaangalia watu wamekaa kwenye nyumba...; au magazeti ya Udaku na Paparazi UK ndio ilikuwa kwao..., Ila ndio hivyo to each his/her own..., na so long as kuna choice I can always check what I want or not at all na kutafuta habari zangu mwenyewe....

Kina Clouds na Redio One walileta utofauti na ilikuwa a breath of fresh air kutoka kwenye TBC pekee (watu wakaanza kupata miziki bumper to bumper).., leo hii cable TV ina channels za kumwaga hata nyingine ni shopping channels kwahio hata wewe leo hii unaweza ukaongea na Cable TV au kina Azam Ukatafuta Sponsors ukaanzisha Channel yako ya kuonyesha paint drying.... (If anyone will watch it, that is another matter entirely)
 
Back
Top Bottom