Ruge noma, Wasafi beach part ni yake/yao clouds

Ruge noma, Wasafi beach part ni yake/yao clouds

Ruge ndo kila kitu sishangai nilishaawaambiaga humu ruge akimtaka mondi ht bure shoo anafanya na hana uwezo wa kukataa...
 
Wewe ni aina flani ya wale wanafki wa maofisini au mtaani wanaopenda kujadili maisha ya watu kuliko maendeleo yao!!

Mtaa unao kaa hata mwenyekiti wako humjui lakini huku Unataka kumfahamu Ruge!!
mbona mapovu
 
Ruge ana akili sana. Sana sana.

Uchukie , upasuke huyu jama ni kichwa. na good thing ni kwamaba si mbinafsi , anazunguka nchi nzima na kampeni yake ya fursa kuwashtua vijana mwisho wa siku tunakuja ponda huku. GoGo Gooo Ruge.
 
Ruge ndo kila kitu sishangai nilishaawaambiaga humu ruge akimtaka mondi ht bure shoo anafanya na hana uwezo wa kukataa...
Duuuuuu ya kweli hayo?? Au ndio wahaya mmeanza kujipa promo km mtoa mada hapo
 
Mbona Le Mutuz yupo karibu na watu wa aina hiyo na hana mbele wala nyuma?!
Mkuu ulishaingia kwenye blog ya wananchi ya le mutuz? unaona yale matangazo unajua analipwa shilingi ngapi? Huo ni mfano tu acha mambo mengine tusiyo yajua

Unawajua marafiki wa JK? Unamfahamu Lungumi? Jamaa historia yake alikuwa ni fundi viatu na mpaka viatu rangi sasa ni mtu yenye pesa

Mifano ipo mingi mkuu
 
hata Diamond are forever pale Mlimani city ilikuwa ya Cloud's fm.

Inasemakana....Inasemekana lakini Ruge ndio meneja mkuu wa Dimond.
hili la kuwa manager mkuu linaweza kuwa kweli....hao wengine ni boshen tuu
 
Akili mbovu ;tunga na wew project nzuri uone kama huwezi uzaa ;;; mbululaaazi kinyesi ubongoni.
 
Kwahiyo kutoshiriki kwa Ruby ndo kunatupa ukweli wa habari yako?
 
Aisee mecheka, kumbe host mwenye shoo ya WCB wasaf beach part ni clouds ikiongozwa na Ruge, ubuyu huo nimepata kwa kwa mtu wa karibu wa Ruby, mana naskia ruby alitaka kushriki bure kabisa lakini ruge aliwakatalia wasaf classic.
Nilichojifunza inawezekana kweli ruge ni mtu wa fursa na ideas za kumake money.aliwapa idea wasafi ya beach part, akaingia nao dau, sasa wao wamekuwa kama waalikwa.

Wahaya ni vichwa na Ruge ndo the think tank la clouds.

Sasa diamond promo zote zile kumbe unamfanyia promo RUGE.
Big up RUGE
Nimegundua pia Kuna Vijana hewa
 
Mbona Le Mutuz uwa anaandaa Instagram party, inamaana yeye ndio mmiliki wa Instagram?
 
Back
Top Bottom