Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
johnthebaptist,
Sioni dalili za Rugemalira akitoa pesa ya bure kisa katishiwa bunduki au kufungwa ila naona dalili za serikali kutangaza kusudio la kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hii,Just mark my words.Kutaja majina na waliochukua pesa kwenye masandarusi ni kuiua CCM ambayo magufuli anataka ibaki pekee yake ikiendelea kuwanyonga wanyonge.
Sioni dalili za Rugemalira akitoa pesa ya bure kisa katishiwa bunduki au kufungwa ila naona dalili za serikali kutangaza kusudio la kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi hii,Just mark my words.Kutaja majina na waliochukua pesa kwenye masandarusi ni kuiua CCM ambayo magufuli anataka ibaki pekee yake ikiendelea kuwanyonga wanyonge.