run CMD
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 3,185
- 3,909
Kwamba mwalimu wa Tanga awezi kuuwa mtu Rukwa..[emoji38][emoji38][emoji38]Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
umejichanganya inaitwa slow lenaner