Kwamba mwalimu wa Tanga awezi kuuwa mtu Rukwa..[emoji38][emoji38][emoji38]Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
Hata wanawake mna roho ngumu kulaza wanaume wawili kwenye kifua hicho hicho sio roho ngumu hiyo, kila mmoja akaonyesha maufundi yake, yaani kugeuka shamba darasa ni roho ngumu sanaAseee....wanaume wana roho ngumu
Wanauana kindezi sana asiee.Bahati mbaya kuua sio kazi yao, wenye kazi zao huwa sio issue sana kuukwepa mkono wa dola. Hawa wengi wakishatoa roho majuto huanza na mjukuu huzaliwa.
Kosa liko wap hapo ...we ndo unaonekana una upeo mdogo wa kuchanganua mamboMwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
Enhe tubakishe na ya kesho πππKwa hiyo tusiwape yote?
Wewe ndio hujaelewa,hao ni wakazi wa Tanga,Shule zimefunga wakasafiri kwenda huko Rukwa na kufikia Gesti kisha Mwalimu Mwanaume akamuua mkewe kisha akakimbilia Katavi nae akajitundika,sioni kosa hapoMwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
Hujaelewa nini, kufanya kazi Tanga siyo lazima uwe mwenyeji wa tanga, unaweza tokea popote duniani.Dah! Mwalimu ni wa sekondari Tanga kaenda kuuwa mkoa wa Rukwa Hala yeye akaenda kujinyonga mkoa wa Katavi. Au Mimi ndio sijaelewa
Katobo kepi?Bwana kale katobo kana siri kubwa sana. Sijui kuna nini kwenye ule utelezi
kale ambacho vijana wanapatka na wzee wanapataka pia kulingana na rais mstaafKatobo kepi?
ππ
Hahahahahaha daaah nimecheka sanawatu wa mikoani wapo serious sana na ny3ge
Ukiwekeza sana ukijitoa sana hadi tone la mwsho afu mtu achepuke unaeza ua...hivi na mimi nitakuja kujinyonga kisa mke wangu kagongwa na mwanaume mwingine?[emoji848]
Ni leaner mkuu sio lenanerKwamba mwalimu wa Tanga awezi kuuwa mtu Rukwa..[emoji38][emoji38][emoji38]
umejichanganya inaitwa slow lenaner
Mkuu upo serious au na wewe umeamua kuchangamsha jamvi??Ni leaner mkuu sio lenaner
Lugha hamziwezi bado mnakimbilia kuziandika