scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,863
- 5,719
bado ana hanghoverWewe ndio hujaelewa,hao ni wakazi wa Tanga,Shule zimefunga wakasafiri kwenda huko Rukwa na kufikia Gesti kisha Mwalimu Mwanaume akamuua mkewe kisha akakimbilia Katavi nae akajitundika,sioni kosa hapo
Yaani alikua mvumilivu hasa,yaani anaambiwa kabisa ntalala na flani,anasikiliza tu?Halafu angekua na subira,angesubiri wako na Deus,halafu afanye attack moja amazing..,huyo Deus atahamishwa tu kwa usalama wake,halafu huko atakakokwenda,ataendelea na maex wake.Neskiliza hizi voice notes, kwakweli mwamba alikua mwamme mvumilivu
Tatizo liko wapi Mkuu ?Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
Mwanaume ukishagongewa na ukathibithisha mke wako amegegedwa haina haja ya kumsimulia mtu ila ni kuchukua maamuzi maana ukisimulia mkewako ametom*wa halafu huchukui maamuzi yoyote ni kama umemvua nguo mkeo hadharani halafu unaendelea kuishi nae. Ukishagongewa ukajua Ni either ukae kimya au useme na kuchukua maamuziLazima watu tujifunze ku control hasira za papo hapo. Huyu itakuwa hasira zilifanya aue na baadae guilty ikamshambulia na majuto ndio maana akaona ajiue na yeye.
Ukiwa na hasira ni bora uondoke uende mbali kwanza au upate mtu wa kumsimulia kwanza.
Mean?Dada Kama mko wawili[emoji39]
Kiukweli jamaaa ni kero humuNawe uwe mtu mzima na jaribu kuficha uchi wa akili yako. Kila mada na comment yako humu JF ni miz
Atakuwa amelewa.Kwamba mwalimu wa Tanga awezi kuuwa mtu Rukwa..[emoji38][emoji38][emoji38]
umejichanganya inaitwa slow lenaner
Inaonekana umeshawahi kusalitiwa.Kuna maumivu fulani hivi mtu unayapata ukisalitiwa.Usipokuwa makini unaua.
Nimesikia kuna voice note za jamaa na demu zinazoonesha usaliti wa huyo dada.
Tatizo lipo katika kauli! Mwanaume akiwa mnyonge kwa mkewe kama huyo jamaa lazima kuuana kutokeeWanaacha watoto wanateseka, kisa kuendekeza upuuzi wa kuuana.
Kwani mke/mume mmezaliwa mmeungana kwamba hamuwezi kutenganishwa?
Ifike sehemu tutambua kama ambavyo uhai una mwisho basi na mapenzi yana mwisho, yakifika mwisho kwa namna yeyote tukubaliane na hali halisi na kuendelea na maisha mengine.
Sorry nami naomba nitumie hizo voice notesUkisikiliza clip za sauti alizorekodi huyo Jerome Dah aseeeh-jamaa Hana hasira za papo kwa papo..... They were (especially him) passing through the hell.
Inasikitisha
Angalia post number 119Sorry nami naomba nitumie hizo voice notes
Umesikia audio ya marehemu akielezea kilichotokea masaa machache kabla hajajimaliza na yeye.Lazima watu tujifunze ku control hasira za papo hapo. Huyu itakuwa hasira zilifanya aue na baadae guilty ikamshambulia na majuto ndio maana akaona ajiue na yeye.
Ukiwa na hasira ni bora uondoke uende mbali kwanza au upate mtu wa kumsimulia kwanza.
Shida ipo wapi mbona maneno yanasomeka vizuri?!Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,
Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]
Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini
Umeiskia adio ya jamaa akielezea kilichotokea na kupelekea yeye kufanya maamuzi aliyofanya?!Aseee....wanaume wana roho ngumu
Usingehangaika kumuelekeza. Mtu kila kitu kipo wazi yeye anakuuliza maswali ya kipopomaWewe ndio hujaelewa,hao ni wakazi wa Tanga,Shule zimefunga wakasafiri kwenda huko Rukwa na kufikia Gesti kisha Mwalimu Mwanaume akamuua mkewe kisha akakimbilia Katavi nae akajitundika,sioni kosa hapo
Pia Lindi - Liwale- watu wa kule hawana habari na mapenzi, Kuna makabira yako siriazi sana na mapenzi, kuishi Lindi kumenifanya kutiyachukulia siriazi haya mapenzi.Swali la msingi Sana,mim nahisi ni philosophy kuhusu mapenzi ni tofauti kwa pwani na balaa,niliwahi kuish mtwara kula watu wanagongeana na maisha yanaendelea
Ukiwa haujaujua ukweli unaweza sema wanaume ni makatili na waonevu. Kumbe Dah kuna mambo hawa watu huwa wanafanya hadi unatamani ungemsaidia jamaa wakati wa kunyonga......Jamaa aliyejulikana kwa jina la Jerome,amemuua mke wake aliyekua anajulikana kwa jina la Lucy na kisha kujiua.Jamani kama huwezi kuachana na ex wako,usiolewe,na kama ukiolewa,achana na ex wako.