Rukwa: Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyonga akimtuhumu kuchepuka, naye ajiua kwa kujinyonga

Rukwa: Adaiwa kumuua mkewe kwa kumnyonga akimtuhumu kuchepuka, naye ajiua kwa kujinyonga

Mwalimu wa Shule ya Sekondari Tanga, iliyopo Mkoani Tanga, Emmanuel Jerome (32), anadaiwa kumnyonga mke wake, Lucy Nshoma (34), katika nyumba ya kulala wageni mkoani Rukwa,

Hivi umesoma hichi juu ulichokiandika [emoji115]

Mnaandika habari haraka haraka mnakimbizwa na nini

Makosa yapo wapi ama wewe nae una stress za ualimu mzee endelea kusoma chin ndo utaelewa
 
Kwa nini haya mauaji ya mapenzi yanatokea zaidi bara kuliko Pwani??
Lazima watu tujifunze ku control hasira za papo hapo. Huyu itakuwa hasira zilifanya aue na baadae guilty ikamshambulia na majuto ndio maana akaona ajiue na yeye.

Ukiwa na hasira ni bora uondoke uende mbali kwanza au upate mtu wa kumsimulia kwanza.
 
Jamaa aliyejulikana kwa jina la Jerome,amemuua mke wake aliyekua anajulikana kwa jina la Lucy na kisha kujiua.Jamani kama huwezi kuachana na ex wako,usiolewe,na kama ukiolewa,achana na ex wako.
Kumbe uyo mwanamke kapata alichostahili kabisa

Haya mambo ya kuoa ni ufala kabisa, tafuta videmu vyako vitatu endelea na maisha ya kuwabandua
 
shida sio utelezi kama jamaa alishachukua mikopo kwajili yamke basi uwezo wakufikiria utakua ulikata mana akikumbuka makato ya miezi 72 bora afe MTU mwenyewe wahuni wanajizungushia tu
Dah hivi mwanaume unafikaje hatua ya kuchukua mkopo kwa ajili ya mkeo? hii trust towards women mnapataga wapi?
 
Umeandika kinyesi.
Mume ni mwalim wa shule ya secondary Tanga.
Mkuu huwezi kuuliza au kumuelekeza mtu kama unahisi kakosea mpaka utumie lugha isiyo na staha?

Jamaa kasomea uinjinia lakini kazi anayofanya ni kufundisha
Ni sawa na mtu aliyesomea udaktari aamue kufundisha, profession yake ya udaktari bado itaendelea kutambulika anapotajwa
 
Swali la msingi Sana,mim nahisi ni philosophy kuhusu mapenzi ni tofauti kwa pwani na balaa,niliwahi kuish mtwara kula watu wanagongeana na maisha yanaendelea
Kumbe....so kule wee wajikamatia tuu mbususu icheze na de libolo
 
Lazima watu tujifunze ku control hasira za papo hapo. Huyu itakuwa hasira zilifanya aue na baadae guilty ikamshambulia na majuto ndio maana akaona ajiue na yeye.

Ukiwa na hasira ni bora uondoke uende mbali kwanza au upate mtu wa kumsimulia kwanza.
Ukisikiliza clip za sauti alizorekodi huyo Jerome Dah aseeeh-jamaa Hana hasira za papo kwa papo..... They were (especially him) passing through the hell.

Inasikitisha
 
Mkuu huwezi kuuliza au kumuelekeza mtu kama unahisi kakosea mpaka utumie lugha isiyo na staha?

Jamaa kasomea uinjinia lakini kazi anayofanya ni kufundisha
Ni sawa na mtu aliyesomea udaktari aamue kufundisha, profession yake ya udaktari bado itaendelea kutambulika anapotajwa
Mbna maelezo yanasema kuwa ni mwalim wa Secondary?? Mbna unataka kutuchanganya Sana mkuu!? Secondary sku hiz wanafundshwa na wahandisi?
 
Mkuu huwezi kuuliza au kumuelekeza mtu kama unahisi kakosea mpaka utumie lugha isiyo na staha?

Jamaa kasomea uinjinia lakini kazi anayofanya ni kufundisha
Ni sawa na mtu aliyesomea udaktari aamue kufundisha, profession yake ya udaktari bado itaendelea kutambulika anapotajwa
Ungesema labda ni lecturer wa chuo kikuu hapo tungekuelewa
 
Huyu dogo alirekodi hizi voice note (VN) kwa confidence sana-possible aliplan haya mauaji.
 

Attachments

Wananishangaza sana hawa wanaoua bila tahafhari yoyote.

Hawaangalii hata movie wala kusoma vitabu kupata ABC za kukwepa vyombo vya dola na kupoteza ushahidi.
hizo ni habari ,achana kabisa na damu ya mtu itakupeleka huku na huko an
 
Back
Top Bottom