Rukwa: Chongolo akiona cha moto, wananchi wampekekea maji machafu ili anywe

Sasa hao jamaa na uchawi wote wameshindwa kutakatisha maji? Wanasubiri uchawi wa mxungu sio?
 
Ni kwanini Serikali ya CCM isizirejeshe zile fedha za Plea Bargain zilizofichwa kwenye Akaunti ya China ili zije zichimbe Visima pamoja na kuviwekea Filters

Halafu Vizinduliwa na Biswalo Mganga.
 
Ndo dawa. vile hakuna jinsi ya kubeba giza hili tuwapelekee wajua umeme hakuna
 
Yaani hii ndio dawa yao, hadi AKILI ziwakae sawa..haiwezekani nchi yenye RASILIMALI nyingi hivi tulale gizani kama mende na tunywe maji machafu kama vyura
 

Mzee wa mastory bora amekutana na reality show. Hawa wanaotembelea Ma VX huwa wanajisahau kuwa katika watu milion 60, takribani asilimia kubwa wanaishi maisha magumu sana. Lazima kimkakati, maendeleo yaanze kusogezwa mpaka vijijini. Miundombinu na huduma nyingine muhimu ili viwe chachu ya maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…