Rukwa: Chongolo akiona cha moto, wananchi wampekekea maji machafu ili anywe

Rukwa: Chongolo akiona cha moto, wananchi wampekekea maji machafu ili anywe

Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Mwamko wa wananchi kujitambua unazidi kushika kasi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwamko huo ni zawadi anayotoa Mwenyezi Mungu akitaka kubadilisha mambo yanavyoenda. Ila waswahili wenzangu wa Kivule wanasema anayelala usimuamshe...ukimamsha utalala wewe.
Watu wameanza kuamka na wanaamka kwa kasi ya ajabu
 
Na kwela ni ngome ya chadema haswaa japo mgombea wake huwa anafanyiwa figisu kwenye kutangazwa
 
Back
Top Bottom