King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Si ana mume huyo Kajala iweje awe na mchumba tena, Mhhh si aliponzwa na yule mtakatisha fedha sasa anakwenda kwa muuza sembe aangalieee.Ashii wema ndio anaitwa Rooney?Italy sembe tu tena la azam
Ashii wema ndio anaitwa Rooney?Italy sembe tu tena la azam
sasa huyu kajala mbona anarudi kule kule? Wadada msipende hayo maisha.
Hii thread haikupaswa kuwa hapo! Mods anzisheni jukwaa la udaku
Hii thread haikupaswa kuwa hapo! Mods anzisheni jukwaa la udaku
Wauza sembe ndio habari ya mjini..
Kuna mtu alinipita na AUDI Q-7 mpyaaaaa hadi nikaogopa.. Nikapiga hesabu za haraka haraka nikakuta vi corolla kama changu vinaingia kama 30 hivi kufikia bei ya hiyo gari moja...
Wauza sembe wapo wengi sana Dar es salaam. Na ndio wanasumbua sana dada zetu
Wacha nikodoe mijicho tu, maji marefu hayo