King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
¤Ni Mchumba wa kajala
¤Anunua Mtaa
Na mwandishi wetu.
Mtanzania mwenye utajiri wa ajabu rooney amefanya kufuru baada ya kununua mtaa mzima mwananyamala kwa kopa na pia kuvunja kituo kidogo cha polisi na kujenga upya.
~Rummy enzi hzo alikuwa dereva wa daladala baada ya kupata mchongo aliingia zake italy kufanya biashara na hatimaye mambo yakawa safi na kurudi tanzania.
~Rummy ndio aliyemtolea dhamana ya mil.13 mchumba wake kajala.
¤Anunua Mtaa
Na mwandishi wetu.
Mtanzania mwenye utajiri wa ajabu rooney amefanya kufuru baada ya kununua mtaa mzima mwananyamala kwa kopa na pia kuvunja kituo kidogo cha polisi na kujenga upya.
~Rummy enzi hzo alikuwa dereva wa daladala baada ya kupata mchongo aliingia zake italy kufanya biashara na hatimaye mambo yakawa safi na kurudi tanzania.
~Rummy ndio aliyemtolea dhamana ya mil.13 mchumba wake kajala.