RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

Hii habari nzuri kwa kilauzi
 
Yaani utadhani alikuwa mtupu kama tumbili...

Ni nguo tu ilinakshiwa sehemu nyeti na rangi ya kitambaa ikafanana na skin complexion ya huyo binti...

Sasa sijui huo uchi jamaa wa mamlaka wameuona aje?, Labda kuna sheria za mipaka ya mavazi ya wasanii

Mbona picha na vazi la kisanii hilo? Alichofanya ni kuongeza urembo maeneo nyeti. Kawaida hiyo kisanii. Mimi nilisikia uchi nilifikiri aliingia bila nguo kabisa. Kumbe kaingia na artist attire. Kibongobongo tunaita uchi.
 
Miezi sita duuh..TCRA wakumbuke pia watu wamewekeza

Na hizi media ziache kukumbatia wahuni wahuni na malaya..
Yaan anayelipaga ajra hii umbwa ndo Ana kichwa mnato, cjapenda media kufungwa ila wamteme huyu demu awe anafanya huo ujnga wake kweny platforms nyngne abrand mwl wake. Ila waspoelewa bas tena gift hana akili
 
Hao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.

Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.

Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Yaani wangeifuta kwenye USO wa Tanzania!!!Haiwezekani Warushe Mwanadada anacheza Uchi wa Mnyama hadharani halafu waendelee kuwepo. Hii ni Tz siyo Ulaya, America na South Africa wanakouza Night Clubs au nude Clubs wanaachiwa. Kwanza huko ni Ndani ya Club siyo hadharani kama walivyomrusha Gift Stanford. Vijana wawe na heshima au Staha siyo kutafuta Ummaarufu Kwa njia za Aibu kudhalilisha Wanawake. Mbona Wanaume hawakucheza wakionesha Dhakari zilivyo. Big Up Sana TCRA bado Wizara ya Michezo,Basata, Tamwa, tawla na UWT. Tunasubiri tamko lenu.
 
Kuna wakati inabidi iwe hivyo,ila hawa TCRA kuna siku watahitaji kupigwa hata kwa maneno makali,haiwezekani wanashindwa kujua kuiwa kilio kikubwa kwa watanzania leo ni vifurushi,watu wananyinywa sana lakini wao wana deal sana na TV tu.
 
Mbona picha na vazi la kisanii hilo? Alichofanya ni kuongeza urembo maeneo nyeti. Kawaida hiyo kisanii. Mimi nilisikia uchi nilifikiri aliingia bila nguo kabisa. Kumbe kaingia na artist attire. Kibongobongo tunaita uchi.
Mitano tena au milele kabisa.......
Uchumi wa kati.....
Nchi hii ni tajiri sana.....
Au nasema uongo ndugu zanguuuuu....
Unaijua vieite wewe!!

Kidumu cha mapinduzi cha magufuli.
 
Duh hivi hawa jamaa huwa wanafikiria wider impact ya maamuzi yao? Ajira za vijana, kodi za serikali na societal benefit za vipindi vyao.

Sidhani kama kuna kosa la kufungia TV kwa miezi sita isitoshe chanzo chenyewe ni live event ambapo producers sio wachawi watabiri nini kitatendeka jumlisha na uhalisia wengi wa wafanyakazi wao bado ni amateurs with lack of experience.

That is just harsh.

Ebu wawaache vijana watengeneze utajiri na kuwa-inspire wengine, kama mtoto wa Tandale kaweza kwa jitihada zake basi inawezekana kwa kijana mwingine yoyete kufanikiwa ndani ya Tanzania.

Adhabu ya miezi sita kwakweli hao jamaa wamepitwa na wakati.
 
Wapi yuko uchi ??? Kama ni hiyo picha tu basi wamewaonea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…