RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

RUNGU: TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha matangazo kwa Miezi Sita (6) kuanzia leo kwa kurusha Maudhui ya utupu

Tukio nililiona na nlikuwa na watu wengine wakubwa kwa wadogo nkajua tu spana lazima ifuate tena ya nguvu
Sioni kosa la Wasafi tv hapo labda wangewasiliana na BASATA wakamfungia Giggy Money
Maana Wasafi Tv wenyewe wana haki ya kurusha matangazo sio waendeshaji/wamiliki wa tamasha.
 
Na Target kubwa ya hizo regulatory authorities siku hizi imekuwa ni kukusanya pesa, siyo kuboresha ay kusimamia huduma. Ni mwendo wa kuviziana tu, ukosee uliwe.

Nchi hii ndio maana watu wanakwepa kodi maana issue siyo kodi tu.

Siku hizi kila kitaasisi kinakusanya pesa.

1. TCRA

2. TARURA
3. NEMC .
4. TMDA
5. Serikali za mitaa

6. TRA

7. TCCIA ( Hawa wanachukupesa za Kurusha drone 🤓🤓

8. Halmashauri
9. TBS
Na CCM hawajakufuata kutembeza bakuli la shughuli za chama na michango ya mwenge
Police Revenue Authority
 
Sioni kosa la Wasafi tv hapo labda wangewasiliana na BASATA wakamfungia Giggy Money
Maana Wasafi Tv wenyewe wana haki ya kurusha matangazo sio waendeshaji/wamiliki wa tamasha.
Kosa la wasafi hapo ni kurusha hilo tukio live, wangeweza kukatisha matangazo wakati huyo mcheza uchi akiwa jukwaani hadi amalize kisha wangeendelea ili kulinda maadili...lakini pamoja na hayo hilo ni kosa la kuomba radhi na kulipa faini tu sio hii adhabu ya miezi sita ni kubwa sana yaani ni sawa na kumuua inzi kwa kutumia nyundo...TCRA wametumia nguvu kupita kiasi hapa.....labda vinginevyo iwe wasafi waliambiwa kuomba radhi wakakaidi...!
 
Kama maudhui yaliruka moja kwa moja (LIVE) sioni kosa maana yanaruka moja kwa moja hadi kwa watazamaji bila kuhaririwa.

Ila kama ni recorded ndiyo yakarushwa basi wanastahili adhabu maana ni lazima kuhariri maudhui kabla ya kuyarusha.

Anapaswa kufungiwa Gigy Money kutofanya shughuli za sanaa na BASATA.

Hizi taasisi ni kama zinaingiliana kazi.
 
Kosa la wasafi hapo ni kurusha hilo tukio live, wangeweza kukatisha matangazo wakati huyo mcheza uchi akiwa jukwaani hadi amalize kisha wangeendelea ili kulinda maadili...lakini pamoja na hayo hilo ni kosa la kuomba radhi na kulipa faini tu sio hii adhabu ya miezi sita ni kubwa sana yaani ni sawa na kumuua inzi kwa kutumia nyundo...TCRA wametumia nguvu kupita kiasi hapa.....labda vinginevyo iwe wasafi waliambiwa kuomba radhi wakakaidi...!
Hawajakaidi inabidi waombe radhi kuanzia leo upumbavu wameshafungiwa siku zote halafu eti waombe radhi
 
Kama maudhui yaliruka moja kwa moja (LIVE) sioni kosa maana yanaruka moja kwa moja hadi kwa watazamaji bila kuhaririwa.

Ila kama ni recorded ndiyo yakarushwa basi wanastahili adhabu maana ni lazima kuhariri maudhui kabla ya kuyarusha.

Anapaswa kufungiwa Gigy Money kutofanya shughuli za sanaa na BASATA.

Hizi taasisi ni kama zinaingiliana kazi.
maneno ni mawili tu, "KA-TA"
 
Kama maudhui yaliruka moja kwa moja (LIVE) sioni kosa maana yanaruka moja kwa moja hadi kwa watazamaji bila kuhaririwa.

Ila kama ni recorded ndiyo yakarushwa basi wanastahili adhabu maana ni lazima kuhariri maudhui kabla ya kuyarusha.

Anapaswa kufungiwa Gigy Money kutofanya shughuli za sanaa na BASATA.

Hizi taasisi ni kama zinaingiliana kazi.
Ilikuwa live
 
Back
Top Bottom