computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Kama kosa wamefanya na sheria inasema ukifanya kosa la aina fulani adhabu yake ni nini acha sheria ifanyiwe kazi,sheria haina hurumaHakika. Hafai huyu hata kwa kuaangwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kosa wamefanya na sheria inasema ukifanya kosa la aina fulani adhabu yake ni nini acha sheria ifanyiwe kazi,sheria haina hurumaHakika. Hafai huyu hata kwa kuaangwa
hawa wapigwe hata spana mwaka mzima.Mkuu nakuunga mkono. Wanatakiwa waweze kutofautisha artist attire na utupu. Ile ilikuwa ni creativiry ya hali ya juu kimavazi ya kisanii. Alichokifanya ni kurembesha maeneo nyeti ambayo kisanii jicho ndiko lingeingia hapo pia ndiko viewrs na followers na likes mitandaoni ili kukuza brand yake. Aisee bado tuna safari ndefu sana. Miezi 6 kufungiwa? Kwa uchumi upi huo? Walioajiriwa hapo mapato kibao na kampuni ya wasafi media pia tunapoteza mapato. Kama haina maadili kikwao Tisiaraei basi wawapige tu spana siku 3 au 5 inatosha. CCM hoyeee.
Nakazia.Serikali/TCRA ina mambo kibao hua inazingua lkn kwny hili niko nao pamoja kwa 100%.
Nchi inaongozwa na washamba washamba Sana kuna uchi gani hapo?🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu. Mimi nimeona kawaida sana sana. Hivyo viurembo alivyozungushia maeneo pendwa ndiyo Tisiaraei wanalilia. Mimi sikuwa nimeona bali nilisikia tu. Sasa aliyetuwekea picha hapa ndiyo amenifungua macho kumbe hakuwa uchi bali artistic attire yake ndiyo timeshindwa kuielewa.
[emoji1666][emoji119]Kama kosa wamefanya na sheria inasema ukifanya kosa la aina fulani adhabu yake ni nini acha sheria ifanyiwe kazi,sheria haina huruma
Upo sahihi ila hizi television zinaupumbavu mwingi sana,wengine watajifunzaHao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.
Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.
Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Tukio nililiona na nlikuwa na watu wengine wakubwa kwa wadogo nkajua tu spana lazima ifuate tena ya nguvu[emoji1666][emoji119]
Mtz og mkuu au umechanganywa na hicho kilichotuna kuonyeshwa live?Huyu ni mtanzania?
Na Target kubwa ya hizo regulatory authorities siku hizi imekuwa ni kukusanya pesa, siyo kuboresha ay kusimamia huduma. Ni mwendo wa kuviziana tu, ukosee uliwe.Wana
wanyoosha balaa raia. Wakiiba sh.100 kwa wateja million 2 tu washarudisha hela zao.
Hii ni Television,siyo radioHii ban itamhusu na Maulid Kitenge na vile vipindi vyake vya ki sports sport? ……..
Wasafi Wenyewe wana akili gani.
Kama kuwa entertainer na kuwa na followers kibao hata Chiku Mbalaga ana wafuasi kinyamaaaa
Miezi sita nisawa..kwani hawajifunzi juzi..TU hapa walifungiwa
Sasa Management inafanya KAZi GANI?
Japo ni adhabu nzuri lakini haikustahili.TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu.
Maamuzi hayo yanakuja kufuatia maudhui ya picha jongefu yaliyomwonesha msanii wa bongo Fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money akicheza ‘utupu’ kinyume na Kanuni katika tamasha la “Tumewasha Live Concert” lililorushwa Januari Mosi 2021 kuanzia saa mbili hadi saa tano usiku.
Aidha Wasafi Tv wanatakiwa kutumia siku ya leo kuomba radhi kwa watazamaji wake kufuatia ukiukaji huo na wakikaidi hatua zaidi za kisheria na udhibiti zitachukuliwa.
Pia soma > Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?
Ukifungiwa hata YouTube huruhusiwi, waulize MwananchiTunahamia YOU TUBE
tumewasha tour live you tube
mkuu hata mimi ninashangaa cjui hii nchi inaongozwa na watu aina ganHao TCRA itabidi wapunguziwe mamlaka, itakuwa wanatumika tu na washindani wa kibiashara wa watu.
Miezi sita as if wametangaza kupindua serikali.
Hizo ni ajira za watu na ni uwekezaji pia lazima adhabu zizingatie na hayo.
Ww hakuna unachoelewa nenda nanjilinji
Ukalime
"Wapinzani watetereke" By Chuchu sijui Zuchu