Dnt wrry 2025 uchaguzi watapata hela tenaHawa wanafanya hivi kwa sababu wana uhakika wa kupokea mshahara wa Magufuli.
Nikuhakikishie nje ya mshahara hawa jamaa hawana ujanja wowote.
Adhabu ya miezi sita kwa kitu kama hiki ni ujinga uliokubuhu.
Ungekuwa Kaka/Baba wa GIGY unahisi ungeyasema haya!? HonestlyBinafsi sioni shida kubwa kwenye hilo vazi, labda kama kuna sababu nyingine ila kama ni hii pekee, TCRA wamezingua.
Kuvaa kiheshima as per tamaduni ni ujima!?Maamuzi mengine ya kijinga sana sasa wanategemea kizazi cha 60's na cha sasa hivi waishi sawa?unafungia media miezi sita alafu hao wafanyakazi unataka wadange ndio wendeshe maisha?kuna watu wangapi wanaendesha maisha kwa kutegemea hicho kituo cha televevision?Serikali itakuwa imepoteza mapato kiasi gani?
Hiii nchi ya kijima sana alafu tukitoka hapa tuanza kuita mabeberu hawapendi maendeleo yetu wakati sisis wenyewe tunarudishana nyuma.
😂😂😂😂😂😂😂TCRA imeitaka Wasafi TV kusitisha kurusha matangazo kwa miezi sita kuanzia leo kutokana kwa kukiuka kanuni za utangazaji kwa kurusha maudhui ya utupu.
Maamuzi hayo yanakuja kufuatia maudhui ya picha jongefu yaliyomwonesha msanii wa bongo Fleva Gift Stanford maarufu kama Gigy Money akicheza ‘utupu’ kinyume na Kanuni katika tamasha la “Tumewasha Live Concert” lililorushwa Januari Mosi 2021 kuanzia saa mbili hadi saa tano usiku.
Aidha Wasafi Tv wanatakiwa kutumia siku ya leo kuomba radhi kwa watazamaji wake kufuatia ukiukaji huo na wakikaidi hatua zaidi za kisheria na udhibiti zitachukuliwa.
Pia soma > Gigy Money kafanya nini huko kwenye ziara ya Tumewasha na Tigo?
Hichi ki media kila siku kina msala mpya
Hahah utasikia tu 'vijana wetu(wasafi) hua wanakosea lkn hatuna budi kuwalea, tcra ninaomba muwasamehe vijana hawa.'Msema kweli ni mpenz wa Mungu na hili nalisema kwa dhati....
Hii ngoma lazima Magu aingilie kati mzee wa kutengeneza ttzo na kulitatua
Ingekuwa hivyo wenye familia wasingekuwa wanafungwa wakifanya makosa kwa kisingizio cha kuwa na familiaAiseee miezi sita ni parefu sana, TCRA waaliangalie hili upyaa. Kama ni miezi sita basi wasafi imepotea kabsa.
Kuna ajira za watu hapo na wanasomesha watoto wao sasa sijui watoto watalipwaje Ada.
Hao tunawaitaga wazungu wa NGURUKA KIGOMAWazungu kama nyinyi hamkosekani bongo mkuu.
Yule midomo hana uongozi pale