Mkuu nakuunga mkono. Wanatakiwa waweze kutofautisha artist attire na utupu. Ile ilikuwa ni creativiry ya hali ya juu kimavazi ya kisanii. Alichokifanya ni kurembesha maeneo nyeti ambayo kisanii jicho ndiko lingeingia hapo pia ndiko viewrs na followers na likes mitandaoni ili kukuza brand yake. Aisee bado tuna safari ndefu sana. Miezi 6 kufungiwa? Kwa uchumi upi huo? Walioajiriwa hapo mapato kibao na kampuni ya wasafi media pia tunapoteza mapato. Kama haina maadili kikwao Tisiaraei basi wawapige tu spana siku 3 au 5 inatosha. CCM hoyeee.