Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Kujifunza sio lazima iwe adhabu, ata kueleweshwa pia ni mbinu provided its the first offence.Ndo next time waajiri watu wenye professional zao tu na sio kubebana hovyo, wasafi imejaa watangazaji na watu ambao hawako proficient na kazi zao
Mi naona hiyo Adhabu ni Sawa tu ndo next time wajifunze