Rungwe: Wananchi Wahamasishana kuchanga milioni 100 kujenga ofisi ya Kata ya CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Wananchi wa kata ya Ndato wamekubaliana kwa kauli moja bila kujali itikadi zao kuchangia ujenzi wa Jengo hilo la kata la Chadema ambalo ndani yake kumepangwa kuwa na Maktaba ya kusomea wanafunzi wote wa kata hiyo.

Diwani mstaafu wa kata hiyo, Mh Paulo Zambi ndiye aliyeandaa harambee hiyo iliyokubaliwa na wananchi wote.

Chanzo: Nipashe
 
Hiyo mil 100 bora zitumike kukabiliana na gharama za kesi ya cheamani.
 
Kumbe wamekubaliana nilidhani wamechanga ,ni kelele tu za chadomo

USSR
 
VERY good, nami nimo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…