Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Zishafika mil 48 hadi sasaWajinga hao, hawatapata hata mil 4 hao.
Zishafika mil 48 hadi sasa
Na Mungu akubarikiRungwe ntapita kwenye pori la Uwindaji huko na kuchangia safi sana Makamanda ...
wacha wee. Watu wamejipanga.Zishafika mil 48 hadi sasa
Wajanja waliotoa wazo au wajanja majambazi wanaozinyemelea waziibe? Kuwa specific mkuuNgoja ziliwe na wajanja ndo akili zitawajia.
Hahahaa chadema wana mapungufu yao lakini sio haya ya ufisadiNgoja ziliwe na wajanja ndo akili zitawajia.
😅😅😅kama wale wa HamzaWajanja waliotoa wazo au wajanja majambazi wanaozinyemelea waziibe? Kuwa specific mkuu
Mpaka sasa wamepata mil 50. Uliza swali lingine.Wajinga hao, hawatapata hata mil 4 hao.
Hiyo mil 100 bora zitumike kukabiliana na gharama za kesi ya cheamani.Wananchi wa kata ya Ndato wamekubaliana kwa kauli moja bila kujali itikadi zao kuchangia ujenzi wa Jengo hilo la kata la Chadema ambalo ndani yake kumepangwa kuwa na Maktaba ya kusomea wanafunzi wote wa kata hiyo.
Diwani mstaafu wa kata hiyo, Mh Paulo Zambi ndiye aliyeandaa harambee hiyo iliyokubaliwa na wananchi wote.
Chanzo: Nipashe
Baada ya kusomewa mashtaka tumegundua kwamba Mbowe hana kesiHiyo mil 100 bora zitumike kukabiliana na gharama za kesi ya cheamani.
Kumbe wamekubaliana nilidhani wamechanga ,ni kelele tu za chadomoWananchi wa kata ya Ndato wamekubaliana kwa kauli moja bila kujali itikadi zao kuchangia ujenzi wa Jengo hilo la kata la Chadema ambalo ndani yake kumepangwa kuwa na Maktaba ya kusomea wanafunzi wote wa kata hiyo.
Diwani mstaafu wa kata hiyo, Mh Paulo Zambi ndiye aliyeandaa harambee hiyo iliyokubaliwa na wananchi wote.
Chanzo: Nipashe
VERY good, nami nimoWananchi wa kata ya Ndato wamekubaliana kwa kauli moja bila kujali itikadi zao kuchangia ujenzi wa Jengo hilo la kata la Chadema ambalo ndani yake kumepangwa kuwa na Maktaba ya kusomea wanafunzi wote wa kata hiyo.
Diwani mstaafu wa kata hiyo, Mh Paulo Zambi ndiye aliyeandaa harambee hiyo iliyokubaliwa na wananchi wote.
Chanzo: Nipashe