Rupia: Hazina ya Mjerumani

Naomba kuulizia kuhusu iringa mjini, sijasikia maeneo yenye hizo mali ila pale iringa mjini kuna wajeruman wengi sana na pia mji wa iringa una mawe na umezungukwa na milima hamna sehemu kwenye hizo mali? Mwenye information plz!!!
 
shimwe iko hivi; utatuletea tunainunua kwa laki tano ( mfano) hiyo moja. Halafu tunakwambia ukipata kama kumi hivi tunanunua kila moja kwa laki nane tuseme. Hizo kumi utazikuta tena kwa washikaji zetu zinauzwa laki tanotano au sita tuseme. Ukishazinunua soko hulioni tena zinakufia mikononi. Rupia moja inajulikana thamani yake kwa shilingi yetu. Tafakari unapigwa soon
 
Last edited by a moderator:

Kwanini kitambaa cheupe?,Nikiiweka kwenye pochi kwani nini kitatokea?.
 
Nina Rupia Ya Sarafu Ya Mwaka 1916 Na Rupia Ya Noti Ya Mwaka 1911, Mwenye kuhitaji Ani PM.
 

Mkuu, bado jamaa zako wanavyo hivyo vifaa ??
 


Bado huna elimu ya unakichosema. Kwanza tafuta elimu yake then fuatilia kwa umakini mbona hata kwenye kuuza korosho kuna utapeli ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…