Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Nimesoma uzi hadi mwisho. Napenda kuuliza. Kuhusu Red mercury je, unafahamu michakato yake? Hata kwa kusikia?
Mkuu kutokana na uzoefu wangu ktk sekta mbalimbali nianze na hv,kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya FREEMANSORY au ILLUMINATI na alama zao kishetani utagundua kuwa alama zao nyingi hupenda kuziweka kwenye fedha iwe ya coin au noti mfano mzuri ni USD ambayo ina bundi,fuvu,nyota,piramidi,satanic eye,nk alama zote hizo zinalengo moja kuu nalo ni mazindiko! Na kama ujuavyo mazindiko yote ni moja ya ibada za kishetani ambazo hujumuisha majini,mapepo,mizimu,roho chafu pamoja na kafara hasa kafara ya damu ya binadamu!

Na ukifuatilia kwa umakini utagundua hao ma-FREEMANSONS & ILLUMINATI wana origin ya sehem moja nayo ni UJERUMANI ktk jimbo moja linaitwa BAVARIA!

Sasa swala la kujiuliza ni hili ikiwa dunia ya sasa ya sayansi na technology mambo ya mashetani na makafara yapo ktk ela kubwa kama USD na tena kwa kiasi kikubwa SEMBUSE ENZI ZILE ZA GERMANY EMPIRE?.sasa ndio nakuja kwenye Rupia,nikweli ile coin ya rupia inamaajabu flan ambayo yakichanganywa na mazindiko na kafara zingine huwa inaleta kile mtu anakuwa anatake either pesa,cheo au utajiri hii inatokana kuwa ela ya rupia ilipata zindiko la damu ya binadamu wkt wa utengenezaji inasadikiwa madin yaliyotumika kuitengeneza yalikuwa yakichanganywa na damu za binadam thats y wajeruman wkt wanaondoka walizificha hzi ela sehem mbalimbali za tanzania hasa ktk maboma,makanisa(moravian),mito,visima na mashimo marefu.

sehem nyingi hupatikana mkoa wa mbeya,iringa na swanga! Na wajeruman waliweka alama kibao hasa katika magome ya miti mikubwa na mawe na huwa wanakuja kuchukua hizo rupia + madini mengine waliyoyaifadhi baadhi ya sehem zilikofichwa madini haya kwa mkoa wa mby ni hizi hapa,
1.Wilaya ya chunya-makongorosi-kijiji cha ujerumani(hapo panamgodi wa dhahabu wa zaman wa mjerumani ni DEEP GOLD MINE)kunamashimo makubwa ma4 nimakubwa sana!, 2.Sehem zote zilizojengwa hospitali za mission za moravian hasa na mjerumani flan ambaye kwa sasa ni marehemu ila watoto wake wanaendeleza game anaitwa LENHNER(LENA) hospitali ya mbalizi,IFISI SONGWE NA MATEMA BEACH!
 
Rupia ninayo moja yamwaka 1910 alama ya J kwaanaehitaji 0717 040837
 

Attachments

  • DSC_2637.jpg
    DSC_2637.jpg
    429.8 KB · Views: 797
  • IMG-20141206-WA0026.jpg
    IMG-20141206-WA0026.jpg
    563.3 KB · Views: 654
mpaka lishimo lilibaki, walichimba na high equiped machines.. maana ata kelele azikuwepo.. wakapakia kwenye land cruser yao moto bati,

Acha uongo wako, Mimi nimesoma Iyunga kuanzia mwaka 1991 hadi namaliza form four Hilo shimo pale Luthuli lilikuwepo na nilikuwa nakaa Shaban Robert bwenini. Kuna wakati walikuwa wanachimba then wanatoa Maji then wanapotea kwa miezi kadhaa wanarudi hadi namaliza sikuwahi kuona wala kusikia mzigo umetoka. High equipment machine zao yalikuwa masululu na makoleo na wachimbaji walikuwa weusi tii hakuna mzungu na ilisemekana Ni mchongo wa mwalimu anaitwa Gumbo...
 
mimi nimesoma iyunga technical sec.school pale mbeya,hii habari za kutafuta rupia ni kweli kabisa nakumbuka mwaka 1996-1999 kuna jamaa walikuja kuchimba shimo kukwa na refu tu kule kwenye bweni la ruthuli wakutafuta hizo rupia,sasa sijui kulikuwa na mkono wa serikali sijui kwakuwa jamaa wakuja wamejandaa na walikuwa na dhana za kazi za uhakika

Mimi nilisoma kuanzia 1991 watu walikuwa wanakuja kuchimba na kutokomea, nahisi hii ishu ilianza zamani Sana na huenda bado wanaendelea kuchimba.
 
Mie ninazo rupia nauza bil 5 nataka ninunue eneo oysterbay nijenge mansion(bajeti 1.5b),pia nataka ninunue bentley (300m) na Vogue moja 80m,bil 2 niwekeze kwenye kiwanda cha maji na juice na bil 1 inayobaki naiweka bank kama fixed kwa mwaka m1,nipiemuni.
 
Nikiwa MWANZA mwaka jana, nilikutana na mtu akanisimulia habari za utaftaji wa rupia, aliwahi kufatilia na katika site ambayo walienda hawakufanikiwa ila walikuta unga wa baruti, bunduki na mabuti ambayo yamechakaa kwa kukaa muda mrefu kiasi kwamba soli yake ukiishika iko laini kama bigijii , hawakuvichukua kwani havikuwa na faida, nilivutiwa na stori nikamwambia anithibitishie na mimi nivione, kiukweli site ilikua mbali hivyo hatukwenda, alichokifanya alinipitisha site zilizopo mjini, akanionesha alama na kunifundisha kidogo zinavyowekwa na kusomwa....
Kwakweli mzuka ulinipanda nikaamua kufatilia mimi mwenyewe, siku moja nilienda site fulani nikafuata alama kulingana na alivyonielekeza, kiukweli nilikuta mahali kuna jiwe(kama sakafu fulani ivi) nikagonga kwa kutumia fimbo(kama za wamasai) nikasikia kuna muitikio wa sauti(mwangwi) unaotokea chini dizaini kama kuna shimo ama chumba au sehemu iliyo wazi, nilitamani kuendelea na utafiti nipate pa kuingilia lakini kutokana na stori za jamaa nyingine zilinitisha, inawezekana ukawa ni mlango, ama mtego, dah, nikaishia pale, ila nikipata nafasi nitaendelea nijue.
Kuna uwezekano hizo site zipo na kuna ukweli kuhusu hii mambo, ila story hazijajiunfold sawa sawa.

Hii ni moja kati ya alama na njia ya kingilia pangoni. kama utazielewa alama vizuri, unaeza pita hadi ukabeba "zaga" naamini hakuna maghost wala uchawi, ni woga wako tu

9k=
 
Shemeji yangu amewah kupata rupia akaenda huko alivo rudi kanunua haice na nyumba mbeya mjini na vitu vingi sana baada ya miaka 3 alifilisika na aliuza vyote. mwaka 2014 alikuja mzungu hapa Ludewa antafta pesa za zamani sio kila pesa ya zaman.
 
Guys, hao Wajerumani wa Kempiski kama wapo kweli watakuwa tu na lengo la kuwatapeli Watanganyika kwasababu sio kila Rupia ina thamani sawa na ingine hapana. Kuna Rupia moja inaitwa Fufumaki alama zake ni kuwa ule upande wa kichwa cha mtu ni " Mzee mwenye Upara " hii moja tu ina uwezo wa kuwafanya watu zaidi ya 200 kuwa " Mabilionea " sasa haiwezekani mtu ainunue ati kwa Mil 200 hata Mil 500 si sawaa !
Nina fufumaki kiongozi sasa nataka niipige bei tuwasiliane basis.
 
Mwana jf
Je umeshawahi kusikia visa na mikasa ya watu wanaotafuta rupia maarufu kama pesa au hazina ya mjerumani?
binafsi nimekuwa nikisikia kuna watu huwa wanakwenda mahala ambapo wamepewa viashiria kuwa kuna rupia na huchimba kama wachimbavyo wachimbaji wa migodini...
hii shughuli ni maarufu sana mkoani Mbeya na Njombe Iringa, nimewahi ona tukio la nyumba kubomoka baada ya watu waliokuwa wakichimba chini kwa chini kutokezea kwenye nyumba ya mzee mmoja huko Mbeya.
Maswali yangu ni:
1. je kuna ukweli wowote wa hili jambo?
2. je rupia ni nini...ni pesa hasa au aina fulani ya kitu cha thamani?
3. je rupia hutumiwaje baada ya kupatikana kwani kuna tetesi kuwa ina thamani kubwa sana.
4. kuna mtu ashawahi kuiona hiyo rupia.

nawasilisha.

mbeya usangu eneo jiran na maramba pana mabox ya rupia utoaj ndo shda
 
Labda kwa kuongezea zaidi kuna baadhi ya mambo najaribu ku connect dots kuanzia utawala wa mkapa hadi sasa nakumbuka mwishoni mwa utawala wake 2005 aliitwa akafanye ziara ujerumani,kilicho shtua mataifa mengi ni namna alivyopokelewa mkapa! Ilikuwa hv ndege ya mkapa wkt imeingia anga la ujerumani zilirushwa ndege za kivita 4 kwenda kumlaki mawinguni ! Zikaizunguka hyo ndege kila moja na upande wake then akapata mapokezi ya kutisha kuanzia airport had ikulu ya ujerumani ambako alikutana na raisi wa ujerumani kwa mazungumzo behind door,inasadikiwa moja ya mambo ambayo wajeruman waliyapa kipaumbele ni hizo mali zao walizoziacha inasadikiwa kuwa BWM alikubali hasa ukizingatia mchonga alikuwa katangulia mbele ya haki so hakukuwa na kipingamizi tena! Immediate wiki moja baada ya BWM kurejea marekani kupitia balozi wao dar wakatuma ujumbe mzito mkapa endapo akiwaruhusu wajerumani kurudi kuchukua mizigo yao tanzania tunge suffer kuanzia kunyimwa misaada hadi kuwa ukanda wa vita kama congo so mipango yote ya wajerumani ikaishia hapo! Ninavyowajua wajerumani sidhan kama ndo waligive up kirahisi hivyo hasa baada ya kushtukiwa na CIA so nadhan (sina uhakika sana najaribu ku connect dots) wamekuja na technic nyingine ya kukifadhili chama fulani cha upinzani ambacho viongozi wake wengi wa juu mbali na kuwa wamesoma huko pia wamekuwa wanakwenda huko mara kwa mara kuhudhuria makongamano mbali mbali!,na kumekuwa na tuhuma hasa kutoka chama tawala kuwa kunachama kinafadhiliwa na mataifa flani ya nje huko,Lakini ni mapema sana kuhisi hicho chama ila "TIME WILL TELL" kama wameshaandaliwa kuwa ma-puppet au ni misaada tu thats y marekani wakaenda kuweka CIA base na ubalozi mdogo kule mbalizi mbeya wakijifanya wanapaita UTENGULE COURT HOTEL kwa lengo la kumonitor pilikapilika za wajerumani!
KWANINI MBEYA? Na sio mikoa mingine haya mambo yanatokea na kufanyika nitaendelea kudadavua next time

Dada umetisha.

We ni kichwa, hatari.
 
Kama MTU amefanikiwa kutoka maji "mercury* gramu 500 kwenye hayo mapango.

Je anaweza kupeleka ubaloz wa ujeruman kuuza?

Kwa wajuz, hiyo gramu 500 ya mercury inaweza kuuzwa kwa shilingi ngap za kitanzania????


Cc: MAKOSHNELI, kichunguu The Fixer
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom