Hepatis B
Senior Member
- Feb 11, 2013
- 193
- 155
Hayo mambo unayoyasema ya mara kupotea mara ukiweka chini ukaweka bakuli ya maji juu coins zinaelea na kurushwa wewe ulionaje wakati unasema haujaigusa?!!! Au ulisimuliwa na huyo kaka yako aliyeruka akili? Haya mambo yana conspiracy nyingi sana ambazo ni ngumu kuconfirm, btw kuna mtu mmoja namfahamu na yeye kutwa kucha kutafuta hayo mapasi na mabirika, kama kweli ndugu zako wanavyo niwaelekeze kwa huyo mtu, kama atakagua nakuona ni vyenyewe wataelewana, lakini angalau wangekuwa wanapiga picha nikimwonesha picha anaweza kuwafuta hukohuko.
Sema sasa, isijekuwa na wewe umeskiza stori tu!
sawa nimekuelewa kwan ukitazama lazima ushike? mm nilizishika zile nyngne za kawaida tu hiyo nyingne awakuniruhusu kabisa kutokana na iman yao inaweza kupotea. kwa kweli ni mda kidogo toka nimeziona had sasa ilikuwa 2011 na sikuwa na sim ya kupiga picha. Ila kitu kinachowafanya washindwe kujitangaza ni kwamba serikal inadai kugawana pasu pasu sasa ndo icho kinachowafanya waogope au wanaweza kutapelewa na watu ambao wapo kwenye system. Sikuwa na interest kabisa na vile nilivyoona. Mm naweza kukuelekeza hawa jamaa walipo sasa hiv huyo mtu kama anatafuta akiulizia hayo maeneo hatawapata tu sawa.