Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Hayo mambo unayoyasema ya mara kupotea mara ukiweka chini ukaweka bakuli ya maji juu coins zinaelea na kurushwa wewe ulionaje wakati unasema haujaigusa?!!! Au ulisimuliwa na huyo kaka yako aliyeruka akili? Haya mambo yana conspiracy nyingi sana ambazo ni ngumu kuconfirm, btw kuna mtu mmoja namfahamu na yeye kutwa kucha kutafuta hayo mapasi na mabirika, kama kweli ndugu zako wanavyo niwaelekeze kwa huyo mtu, kama atakagua nakuona ni vyenyewe wataelewana, lakini angalau wangekuwa wanapiga picha nikimwonesha picha anaweza kuwafuta hukohuko.
Sema sasa, isijekuwa na wewe umeskiza stori tu!

sawa nimekuelewa kwan ukitazama lazima ushike? mm nilizishika zile nyngne za kawaida tu hiyo nyingne awakuniruhusu kabisa kutokana na iman yao inaweza kupotea. kwa kweli ni mda kidogo toka nimeziona had sasa ilikuwa 2011 na sikuwa na sim ya kupiga picha. Ila kitu kinachowafanya washindwe kujitangaza ni kwamba serikal inadai kugawana pasu pasu sasa ndo icho kinachowafanya waogope au wanaweza kutapelewa na watu ambao wapo kwenye system. Sikuwa na interest kabisa na vile nilivyoona. Mm naweza kukuelekeza hawa jamaa walipo sasa hiv huyo mtu kama anatafuta akiulizia hayo maeneo hatawapata tu sawa.
 
sawa nimekuelewa kwan ukitazama lazima ushike? mm nilizishika zile nyngne za kawaida tu hiyo nyingne awakuniruhusu kabisa kutokana na iman yao inaweza kupotea. kwa kweli ni mda kidogo toka nimeziona had sasa ilikuwa 2011 na sikuwa na sim ya kupiga picha. Ila kitu kinachowafanya washindwe kujitangaza ni kwamba serikal inadai kugawana pasu pasu sasa ndo icho kinachowafanya waogope au wanaweza kutapelewa na watu ambao wapo kwenye system. Sikuwa na interest kabisa na vile nilivyoona. Mm naweza kukuelekeza hawa jamaa walipo sasa hiv huyo mtu kama anatafuta akiulizia hayo maeneo hatawapata tu sawa.

It always ends like that! Poa, jumapili njema kaka.
 
kuna mtu ameniambia nimtafutie hiyo hela ya Rupia yenye picha ya simba na akaniahidi hela nyingi endapo nitafanikiwa kuipata inafanya kazi gani hasa kwa mwenye kuelewa asisite kufunguka kuhusu Rupia ya kijerumani.

Achana na hayo mambo hiyo hela unayoitafuta mpk uipate utaingia garama nyingi zisizokuwa na maana,alafu sio ya kimzaha zaha kama unavyoiwaza ina mambo ya ajabu ajabu so lazma uwe makini sana
 
It always ends like that! Poa, jumapili njema kaka.

Hawa watafutaji wa rupia akili zao ni kama haziko sawa. Watakwambia story nyingi za kuvutia ila mwisho wa siku hawajui hata wanachokifanya.

Mimi Mtu ananieleza habari ya kutajirika na rupia namwona kama mwendawazimu flani.
 
Hawa watafutaji wa rupia akili zao ni kama haziko sawa. Watakwambia story nyingi za kuvutia ila mwisho wa siku hawajui hata wanachokifanya.

Mimi Mtu ananieleza habari ya kutajirika na rupia namwona kama mwendawazimu flani.

Kumbe na wewe umeona mkuu, maelezo yao lazima yajichanganye! Mara eti nikitangaza serikali itataka pasu...utafikiri wamekuta tani nane za dhahanu..lol!
 
Kumbe na wewe umeona mkuu, maelezo yao lazima yajichanganye! Mara eti nikitangaza serikali itataka pasu...utafikiri wamekuta tani nane za dhahanu..lol!

Ujalazimishwa kuamin na wala me sio rupia dealers ila nimesema tu nilichoona kuhusu rupia. Na wap nilipoiona usipende kucoment kila mtu anachosema ukiona cha uongo au hakina maana unatulia wapo ambao watachukua. By the way wenzenu wamefungua shule tayar we bado upo au ada tatizo?
 
Alafu hao wanao comment maneno ya wenzao mbona Humu sion wamesema nn? Au ndo bas tu ile ukanushe tu!!? kwel shida sana hawa watu.

Hii mada nimeisoma soma bahadh ya maneno ya watu. Ila kiukwel tanzania kuna sehem kuna maajabu sana jaman msibishe vitu ambavyo ujaviona. Mbeya chuo cha magereza pale kuna miujiza mingi sana pale kwenye mto kiwira sehem ya kijungu na lake ngoz tukuyu ambapo wanadai rupia zipo ila uwez kuthubutu kuingia panatisha sana.

Hiv vitu vipo sana me nimfanyakaz wa kampun moja hapa Tanzania na kaz yangu kubwa nikufanya tasmin sehem mbal mbal ambako miundo mbinu inatazamiwa kupelekwa.

Ki ukwel nimejionea mambo ya ajabu sana na kuna sehemu uwezi kufika bila kuongea na wazee wa kijiji. Mojawapo ni sehem ambapo inasadikika hizo rupia zipo ni sehem nying ambazo jamaa wa nyuma wametaja mbeya, iringa, smbwanga, tabora nk.

Kama kuna mwenyeji wa iringa anaweza kuwa shaidi yangu juu ya yale makabur ambayo yalisumbua sana pale Isimila had kuja ya kuyatoa kujenga hii bara bara mpya. Inasemekana vijana walio bomoa yale makabur wote hayupo hata mmoja.

Kw wale ambao mnatafuta utajir wa rupia achen watu wanakufa sana kila nakoenda unasikia kuna mtu alijaribu kwenda akafarik.

Tufanye kaz tuachane na hizi habar za rupia tulidhike na kile ambacho Mungu ametupa. Anayetafuta rupia ni sawa na anayetafuta uganga.
 
Waogopeni sana hawa wanaosema kuna mtu anataka hela kidogo ili ampe kijana wake aje muuze...
wako wengi sana mjini. Mimi nimepata kukutana na wanaozitafuta hizi na kuna list ya vitu vingi sana ninayo.
 
Miaka ya 90 hiyo ndio ilikuwa deal. Rupia zipo maeneo ya singida.arusha.tanga nk. Kama walivyosema wadau kinachotafutwa pale ni yale majini yaliyoko ndani. Story ni kuwa hayo majini yamekuwa traped pale. Kuyafree inaitwa kubangua. Yanapotolewa yakupa zawadi. Inaweza kuwa pesa nyiingi. Au unaweza usitake kuyatoa yakakutumikia. Ila unaishia kuyatumikia. Walio na hizo rupia wanazitumia kukutapeli. Unanunua unalipa na unaondoka. Ukifika njiani inakuwa imepotea. Ukirudi unaikuta kwa mwenyewe. Thubutu kudai pesa yako uone. Jamaa kufumba na kufumbua walitolewa Singida hadi Arusha. Hizi huku mjini za kuganga njaa. Rupia yenyewe ukianza safari mwenyewe anajua kuwa unakuja. Sio biashara ya kufanya kabisaaa. Itakufilisi na sio rahisi kukutana na mnunuzi mwenyewe. Kila mtu ni dalali wa kusikia tu. Pili kipimo chake cha kujua feki na origino kiko na mnunuzi. Unafika na mzigo unaambiwa hii sio. Watu wameingia misikitini na makanisani lakini yote sio.
Huko upareni ziko ila haziendi mjini. Chunga saana.
 
Rupia ni ya mjerumani. Znz hawana yao. Walitumia kama makoloni mengine yaliyokuwa chini ya mjerumani.
 
Nilianza kusikia habari za Rupia mwishoni mwa miaka 1990. ilikuwa hivi.

tulikuwa kundi la vijana kama saba hivi. Akaja mshikaji mmoja akanivuta pembeni na kunionyesha Sarafu huku akiniuliza ikiwa naifahamu sarafu hiyo. Nilishika na kuitazama na kujibu haraka hili li-hela la kenya la nini. ananiambia litazame vizuri. nikaona limeandikwa Rupia 1 huku likiwa na picha ya mtu aliyevaa kofia huku juu ya kofia kukiwa na picha ya ndege. Nilimdharau kwa kumwambia hiyo sarafu haina manufaa yoyote. niliyooa imeandikwa Rupia, harakaharaka akili yangu ilinipelekea kuw ani Rupee inayotumika India.


Mshikaji yule kwa kuninong'oneza aliniambia kuwa anakwenda kumpeleka mzungu aliyekuwa katika hotel mojakubwa jijini mwanza na wataondoka wote kwenda Dar na atakaporudi atakuwa na magari mawili aina ya Canter Elcher ( kipndi hicho ndio zimeingia) na kubaki na pesa za kutosha kujenga yumba na kuendeasha maisha yake! Nilimcheka lakini alionekana yupo makini na tukaachana akienda kwa mzungu wake


baadaye katika mazungumzo na watu wenye umri mkubwa zaidi "walishangazwa" kwa hatua yangu ya kupata bahati ya kuishika Rupia halafu na kuiachia wakisema kuwa nimekosa "Utajiri". walisema Serafu hiyo inatafutwa kwa udi na uvumba na kuwa kuna watu wako tayar kutoa mamilioni ili kupata sarafu hiyo yenye "Madini" yanayotafutwa sana na wajerumani.


Kwa kadri muda ulivyokw aukisonga mbele idadi kubwa ya watu ambao nilibahatika kuzungumza nao kuhusu sarafu hizo za ujerumani walieleza kuwa zinatafutwa sawa, sambamba na vitu kama Pasi n.k lakini hakuna hata mmoja alyewahi kueleza kumfahamu au binafsi aliyewahi kupata hayo mamilioni kutokana na sarafu hizo.

kuda idadi kubwa ya watu waliopoteza kiasi kikubwa cha fedha au hata kufilisika wakiwa katika harakati za kusaka rupia au hata kutafuta soko baada ya kuipata sarafu hiyo. kikubwa ni utapeli unaofanyika na hili niigundua kwa njia mbili.

Moja atakuja mtu anakwambia anataka Rupia ili akupe, tuseme milioni 10. lakini mwisho wa siku atakuja mtu mwingine anakwmabia anayo na mwisho utampa milioni tano ukitegemea atuakuja uza kw amilioni 10 kumbe ola.
 
nimecheka sana mkuu hakuna rupeeee wala nn ni ujinga tu

matapeli hao, mmoja nilimwambia rupia anayotaka mimi ninazo na siyo moja, alate cash nimwachie matakataka hayo, nikamtumia na picha eti anataka nisafiri kumfuata...nilicheka sana!
 
Alafu hao wanao comment maneno ya wenzao mbona Humu sion wamesema nn? Au ndo bas tu ile ukanushe tu!!? kwel shida sana hawa watu.

Hii mada nimeisoma soma bahadh ya maneno ya watu. Ila kiukwel tanzania kuna sehem kuna maajabu sana jaman msibishe vitu ambavyo ujaviona. Mbeya chuo cha magereza pale kuna miujiza mingi sana pale kwenye mto kiwira sehem ya kijungu na lake ngoz tukuyu ambapo wanadai rupia zipo ila uwez kuthubutu kuingia panatisha sana.

Hiv vitu vipo sana me nimfanyakaz wa kampun moja hapa Tanzania na kaz yangu kubwa nikufanya tasmin sehem mbal mbal ambako miundo mbinu inatazamiwa kupelekwa.

Ki ukwel nimejionea mambo ya ajabu sana na kuna sehemu uwezi kufika bila kuongea na wazee wa kijiji. Mojawapo ni sehem ambapo inasadikika hizo rupia zipo ni sehem nying ambazo jamaa wa nyuma wametaja mbeya, iringa, smbwanga, tabora nk.

Kama kuna mwenyeji wa iringa anaweza kuwa shaidi yangu juu ya yale makabur ambayo yalisumbua sana pale Isimila had kuja ya kuyatoa kujenga hii bara bara mpya. Inasemekana vijana walio bomoa yale makabur wote hayupo hata mmoja.

Kw wale ambao mnatafuta utajir wa rupia achen watu wanakufa sana kila nakoenda unasikia kuna mtu alijaribu kwenda akafarik.

Tufanye kaz tuachane na hizi habar za rupia tulidhike na kile ambacho Mungu ametupa. Anayetafuta rupia ni sawa na anayetafuta uganga.

Afadhali na anayetafuta uganga ndugu,kuna ndugu yangu mimi mtoto wa baba mkubwa aliondoka nyumbani akiwa ni kijana wa umri kati ya 18 na 20 na akarudi akiwa na miaka 35 maanake alifika mpaka Kenya na kongo aliporud akawa na hayo marupia ila akawa anasema et hayo hayana wateja na akili ikawa haiko sawa tena na mpaka leo maisha yake hayaeleweki,rupia sio dili siwes kumshauli mtu afuatilie hayo mambo.
 
Back
Top Bottom