Rupia: Hazina ya Mjerumani

Habari zaidi
 
Habari zaidi
 
Habari zaidi
 
Uyu gumbo ambaye alienda kufundisha DiT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwaka 2008 wakati wa likizo ndefu ya miezi ka mitatu, walikuja hao mnaowaita wazungu(german) wakachimba bwenini, luthuli na kuchukua izo rupee...
Ndo Ile likizo ilitokana na Nini,Mabweni mabovu au. Au ndo ilikuwa Mbinu ya kuchukua Mali zao pale. Mkulu inamuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry mkuu, nilipata hizo hisia sababu ya hivyo vigezo vya mavazi na mida ya kuingia nikaweka hapo dhana ni kwa masharti. Thank you again🙏
Aisee na mimi nimeingilia Kati Mavazi ni weli yapo siyo kila rangi ya Nguo ni ya kuingia nayo Kule (German Treasures Sites)
 
Vintage Mshana Jr

Huwa nakukubali sana mkuu, ulivyopangilia hizi hoja ni kama thesis ya PhD.

You're a great thinker indeed
Ahhh Hii ame Copy na KuPest Maelezo ya Dr. Thabeet kwenye Web site ya Kampuni ,siyo Hoja za Jamaa aliye post. yenye kuwa na Malipo kwa uhakika.
 
Reactions: T11
Umesahau kuwataadharisha kuhusu dhamiri yao ni nini?
Kuona au Kuchukua?
na kama ni kuona Je,wakibadilika na kutaka Kuchukua ni nini kitatokea?
pia Je ni wangapi huwa wanaruhusiwa Kuingia Saiti na wanatakiwa kuwaje kuanzia Mavazi nk?
Nini wafanye kabla na nini wasifanye?
Ahsante yangu ni Hayo tu.
 
Aisee japo umeshauri watu kutokutafuta ila mimi nakuja tofauti kwako,,,,kama kutunukiwa uishatunukiwa mpaka kufika kwenye vitu husika sema sasa haukuwa na Mwanga wa kumalizia kazi Mkuu ... kwenye sehemu ya kwanza ulifika kwenye saiti husika na Kosa ni Kugusa na je Mlienda siku gani ya Juma?
pili kisanduku kilikuwa ni cha Shaba kama si Nyekundu Basi Njano... hapo iltakiwa kutamka maneno Machache na kingetoka na kushuka Mpaka ardhini na Baada ya kukaa ardhini ungekichukuwa na wala kisingekuwa na Madhara Kwako.
Tatu kwa mzee wa Kimasai alifanikiwa kupata lakini ukisha chinja Mnya na damu ikamwagika basi yale madudu huwa yanakunywa kidogo na inakuwa kama ina walevya kwa kipindi cha Masaa 72 na pia unatakiwa kuondoka eneo husika na Mzee wa Kimasai Hope alifanikiwa ila kwa kuwa hakuwa na namna ya Kutenganisha ile mali na yale Madudu basi Masaa 72 yalipoisha akaendelea kuwa na vy o kwa kufukia chini na Zilipoisha siku 90(miezi 3)akiwa na zile mali na yeye akawa Saiti na ndiyo maana alipofatwa kwa ajili ya kwenda kurudisha kwa wakusanyaj ili apate Hela akawa kama anawehuka na ukiacha kuongelea Mali basi anakuwa sawa.....hapo ni kwasababu aliwapa Damu sasa na yeye aliyatoa kule Basi yalimtaka aendelee kuyaabudu na Mpaka leo kuna Vitu atakuwa anaendelea Kufanya kama hakupata wakutenganisha Items husika na zile roho Chafu.
MAELEZO YAKO YALIKUWA SAHIHI na ndiyo Maana nimepata hamasa ya Kuchangia kwenye Makosa yakiyofanyika kwenu.
Nyongeza FunFu Mark ndiyo yenye Tabia ya Kumrusha Mtu Mbali na Box uliyoona Hope full 100% ndani yake zilikuwepo.
 
Kabisa Mkuu
 
Ni kweli.
 
nitakuja kuwaondoa hao nyuki ili tukombe rupia ili tuishi kama malaika maana usawa huu chama tawala kinajua kinachofanya
Samahani Mkuu japo nipost ya Muda Mrefu nataka kujua kwenye hili eneo unaloliongelea bado kuna hiyo hali?
na nyuki hao ni wale wekundu?
 
Yes hii Nikweli io hivyo Mkuu kama huna elimu ya kitu Husika ni hatari Kufanya na Kaburi aliloenda unalikumbuka?
Je bado unainterst na hii kitu?
naweza Hojiana na wewe Inbox?
 
Siyo Funfumark
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…