Rupia: Hazina ya Mjerumani


Ngoja mkuu nitakujulisha halafu umeona PM yangu?
 
Stan Mzalendo - Ruvuma ni moja ya mikoa ambayo ina hazina nyingi sana za Kijerumani na hasa kwenye Mahospitali makubwa na Makanisa kuna underground kubwa sana na milango imara sana ambayo haifunguliwi funguliwi hovyo

Binafsi nimesoma high school mkoa huo ila kwa bahati mbaya sanaa nyakati zile sikuwahi kuzisikia hizi habari ila baada ya kusikia na namna nlivyozisoma baadhi ya sehemu mkoa ule ? Tanzania ni nchi Tajiri sana Duniani!
 
pale Mtwara kuna sehemu inaitwa Ndanda nahisi inahusika kwa mwenye ufahamu atujuze plz
 

Sasa kwanini wakazi wa maeneo hayo ni masikini?
 
Mkuu Fyddell, Ruvuma na Tanzania kwa ujumla ni maskini sababu bado hakuna mkataba maalumu wa kukabidhiana hazina hizi kwa maana ya kuwa wao walificha lakini hawakuja nazo kutoka makwao walizikuta huku huku kama ule Mkataba Mzee Mkapa alioupendekeza kama ungefanikiwa na JK akaanza kuufanyia kazi basi leo hii vijana woote wasio na ajira wangelipwa mafao ya wasiokuwa na ajira " Unemploymeny benefit " kama Ulaya tu! Hazina hizi zipo ila bado hazijaanza kuvunwa kwa uwazi , Ukienda pale Wizara ya Mali asili na Utalii kipo kitengo / Idara ya mambo ya kale inahusika na kuruhusu watu kwa kutoa vibali kufanya tafiti sehemu mbalimbali na baadhi ya Watanzania wameshatoka kidedea katika haya na wala sio hadithi, Tanganyika untold stories kabisa
 

mwaka 2008 wakati wa likizo ndefu ya miezi ka mitatu, walikuja hao mnaowaita wazungu(german) wakachimba bwenini, luthuli na kuchukua izo rupee...
 
mwaka 2008 wakati wa likizo ndefu ya miezi ka mitatu, walikuja hao mnaowaita wazungu(german) wakachimba bwenini, luthuli na kuchukua izo rupee...

Uliwaona kwa macho yako hao Germans wakichimba kusaka hizo rupia au ulisimuliwa neoo?
 
Uliwaona kwa macho yako hao Germans wakichimba kusaka hizo rupia au ulisimuliwa neoo?

mpaka lishimo lilibaki, walichimba na high equiped machines.. maana ata kelele azikuwepo.. wakapakia kwenye land cruser yao moto bati,
 

Ulifanya la maana sana kupuuzia. Kuna Mhindi mmoja alishawahi kuchezewa kamchezo hako na alitapeliwa vibaya sana. Yaani jamaa wana create demand ya uongo ya kitu flani. Ile shauku yako ya kutaka kukidhi hiyo demand yao ndiyo inayokupelekea kuingia mikononi mwao na kutapeliwa.
 

hizo zote ni alama zao walikwisha gundua siku nyingi hazina zilipo.

namba 6 hapo panaitwa likuyu...kuna hazina usiyotangazwa na watu hutafuna kimyakimya humo ndani ya mapori
wanafika kwa ndege.NCHI HII NZURI MASHALLAH
 
kuna mtu ameniambia nimtafutie hiyo hela ya Rupia yenye picha ya simba na akaniahidi hela nyingi endapo nitafanikiwa kuipata inafanya kazi gani hasa kwa mwenye kuelewa asisite kufunguka kuhusu Rupia ya kijerumani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…