Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Guys, hao Wajerumani wa Kempiski kama wapo kweli watakuwa tu na lengo la kuwatapeli Watanganyika kwasababu sio kila Rupia ina thamani sawa na ingine hapana. Kuna Rupia moja inaitwa Fufumaki alama zake ni kuwa ule upande wa kichwa cha mtu ni " Mzee mwenye Upara " hii moja tu ina uwezo wa kuwafanya watu zaidi ya 200 kuwa " Mabilionea " sasa haiwezekani mtu ainunue ati kwa Mil 200 hata Mil 500 si sawaa !
Ngoja mkuu nitakujulisha halafu umeona PM yangu?