Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM
Mkuu respect
 
Kunajamaa alikua na kitako cha pasi ya mjelumani alikua anakata kilaji alivyozidiwa na mkojo akazamanayo toilet kushanga pasi ilimdondoka ikazama chooni S's labda kweli zina mauzauza hizi kitu
 
1472651283782.jpg
 
MAKOSHNELI mkuu mimi pia naishi hapa jijini mbeya uliyoyaeleza mengi nayajua so mfano bwana Lena, soko la uhindini pia kuna mti kwa babu yangu inasemekana kuna rupia maeneo hayo kikweli hata tukienda kesho ilo eneo wamejaa nyuki na hawajawahi kuhama.
Teh teh teh teh!! Hizi njaa zitawaua, eti nyuki hawahami kkkkkkkkkkkkk, unafikiri kama hiyo sehemu hao nyuki hawasumbuliwi ulitaka wahamie Lumumba ama Ufipa!?
 
MAKOSHNELI mkuu mimi pia naishi hapa jijini mbeya uliyoyaeleza mengi nayajua so mfano bwana Lena, soko la uhindini pia kuna mti kwa babu yangu inasemekana kuna rupia maeneo hayo kikweli hata tukienda kesho ilo eneo wamejaa nyuki na hawajawahi kuhama.
yaa yapo maeneo mengi sana hasa nyanda za juu kusini ambayo ni maficho ya wajerumani
 
mkuu maeneo yapo mengi sana sehemu zingine nsizijui ila kama ukijiingiza katika hiyo ishu utakutana na jamaa kibao ambao kila kukicha mtakuwa mnagundua maeneo but kwa uzoefu wangu na kwa muda niliojihusishaga na hayo mambo sijawahi ona mtanzania katoa mali za wajerumani sehem walizozificha zaidi ya kumuona Lena na wajerumani wengine wanaokujaga tz kutoa refer post ya chakalikamkopo hapo juu,wengi wa watu huishia kutapeliwa,kufa na kufirisika huku wakitafuta hizo mali lakini hawapati,na unatakiwa kuzingatia kuwa ON YOUR WAY kwenda kutoa hazina ya mjerumani kuna 'DEALTH TRAP' kwa kiswahili ningesema MITEGO YA KIFO hasa kwa hazina zilizofukiwa ardhini,mfano ni PROXIMITY BOMBS,WIRE FUSED BOMBS,CABON CHAMBERS(VOIDS),MERCURY,ACIDY,MASHETANI,MAJI, NK ....so wao wakati wakiwa wanatoa huwa wanajua SAFE entry positions ambazo huwezi ukajua hadi uwe na ramani origina ya huyo aliyedesign hilo shimo,labda kwa kuongezea katika post ya chakalikamkopo nikwamba Nyerere alipokwendaga marekani immediately baada ya kupata uhuru kilichompeleka huko ni kwenda kuomba msaada wa ujenzi wa reli tokea DAR ES SALAAM hadi KAPIRI MPOSHI lakini wengi hawajui nikuwa ile trip ilikuja baada ya wanakijiji fulani wakishirikiana na baadhi ya maafisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wakati huo walimkamata mjerumani mmoja ambaye alikutwa katokea katika pori la seluu akiwa na baadhi ya madini na baadhi ya ramani! sasa nikwamba katika pori la seluu ukiingilia KIBITI mkoani pwani takribani km kama 200 hivi kuna boma la zamani sana la mjerumani ambalo inasemekana mjerumani huyo alitokea hapo sasa kitu ambacho ni interested nikwamba moja ya ramani ambazo alikutwa nazo ni surveyed map ya reli ambayo wajerumani walifanya coz walikuwa na lengo la kuunganisha makoloni yao yote kwa njia ya reli kutokea germany east africa(tanganyika) hadi BOTSWANA na baadhi ya ramani zenyekuonyesha maeneo yaliyohifadhiwa hazina so zilipomfikia mchonga ndio akapata wazo la kujenga reli ya TAZARA! na akajenga shule,na kambi za jeshi sehemu ambazo kulikuwa na hivyo vitu but sio zote coz hakupata ramani zote,sasa katika kuhaha kutafuta watu wa kujenga akaenda kwa JF KENEDDY kuomba msaada ,jfk alipojua kuwa jamaa ni kichwa na kajua nini walichoacha wamarekani akamwambia usa haiko tayari kuisaidia tz kwa kipindi kile (coz tulikuwa upande wa china na russia) ila yeye binafsi AKAMPA NYERERE KITABU AMBACHO ALIAMBIWA AKISOME KITAMSAIDIA! inasadikiwa kile kitabu kilikuwa na ramani zote za Hazina wajerumani walikoficha na sehemu zenye madini ambazo wajerumani walifanya survey ambazo wamarekani walizipata baada ya kuipiga ujerumani ktk vita kuu ya 2 ya dunia CIA walipojua kuwa JFK kampa copy ya hicho kitabu WAKAMUIBIA JKN KABLA HAJAONDOKA IKULU YA WHITE HOUSE!,mchonga baada ya kuona hayo akaendazake china kuomba msaada wa kujenga reli tokea dar ha kapirimposhi zambia MAO wakati huo wameshibana sana na JKN ukawa msaada ambao hadi leo tunayo hiyo reli,sasa baada ya wachina kuja wao walipewa tu ile ramani ya mjerumani na kufanya survey kidogo tu na wakaanza ujenzi sasa marekani na uingereza wakahisi kuwa huenda wachina wanajua kuhusu hazina za mjerumani na wangeweza kutoa so nao ili wawe karibu kupeleleza nini kinaendelea wakaahidi kutoa msaada wa kujenga BOMBA LA MAFUTA NA BARABARA KUTOKEA DAR HADI ZAMBIA! na kama hujui kulishatokea mapigano kati ya wahandisi wa kichina na marekani, waingeleza sehemu ambazo hivi vitu viwili vilikuwa vinapishana mfano ni nipale usangu ambapo leri inavuka barabara hadi nyerere aliamua maeneo kama hayo ujenzi wa bomba na barabara urukwe serikari yenyewe itakuja kumalizia sjamaa wanatujua ndani nje nje ndani kila kitu thats y usishangae migodi mikubla inatoka canada ,usa na kwingine kote inakuja moja kwa moja tz hata hawahangaiki kufanya sijui upembuzi yakinifu nk ..............

Jamaa wewe ni kichwa nimekuelewa
 
Sasa Jpm Akafukue Hizo Mali Nchi Iage Umasikini
Nasikia Hata Ikulu Kuna Mali Za Mjerumani
 
mkuu kama nilivyoandika hapo juu wajerumani nadhan kwa uzoefu na elimu yangu naona ndio watu waliopata kuelimika zaidi hasa karne ya 17,18 na 19 coz mambo waliyoyafanya miaka hyo ya zamani with respect na technology+miundombinu ya wakati huo ni makubwa mno kwanzia ujenzi wa madaraja,nyumba,reli,meli,submarine,migodi nk we just imagine mali zao walizificha kabla ya vita ya kwanza ya dunia but hadi leo pamoja na kuendelea kwa teknolojia bado huwezi ukatoa! So simple and clear sehem walizoficha mali zao walifanya mazindiko tena makubwa sasa miongoni mwa hayo mazindiko nikama nyuki au nyoka wa miaka yote yaani unakuta hiyo sehemu kuna nyuki au nyoka hafi wali haami hilo eneo,vi2 vingine nikama majini hasa chunusi sehem zenye maji kama mito na maziwa kama wewe ni mwenyeji wa mby nenda mabatini ile njia ya kuelekea itende jeshini unapokaribia kuingia eneo la jeshi kuna kota ya kwanza mkono wa kulia ipo pembezoni mwa mto ukiipita hiyo kota umbali kama wa mita 20 mtoni kuna shimo hapo na tayari zaid ya watu 4 walishawahi potelea hapo 1 akiwa ni mwanajeshi,jeshi walishaweka tangazo hapo kuwa ni marufuku mtu kufanya shughuli zozote eneo hilo ni hatari,eneo hilo kwa wakazi wa muda mrefu wa mabatini ukiwauliza "yorodani" ndio wapi watakusimulia vi2ko vya hapo coz zamani walikuwa wanakwenda hapo kufua na kubatiza waumini wao kabla hapajapigwa marufuku,mkuu yapo maeneo mengi sana hasa mkoa wa mby na wilaya zake zote na trick nyingine wajerumani waliyokuwa wanatumia hasa katika mashimo waliyofukia mali zao ni kuweka chupa zenye mecury so ukienda lazma utumie tochi kumulika sababu ya giza so on the way kumulika endapo utamulika ile chupa yenye mercury bulbu ya tochi inapasuka kutokana na reflection ya mercury
daah...bulb ikishapasuka si ndio hautoki humo shimoni au?...aisee
 
Wataalamu wetu wa Geology wako wapi?. Maana liganga haihitaji degree kujua. Hivi vile viwanda vya mababu vya kufua vyuma vilikufaje kufaje?
 
Watu Wanahangaika Mererani Na Kufukiwa
Kwanini Hawaendi Kwenye Hiyo Hazina Ya Mkoloni
 
Back
Top Bottom