Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Mkuu kutokana na uzoefu wangu ktk sekta mbalimbali nianze na hv,kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya FREEMANSORY au ILLUMINATI na alama zao kishetani utagundua kuwa alama zao nyingi hupenda kuziweka kwenye fedha iwe ya coin au noti mfano mzuri ni USD ambayo ina bundi,fuvu,nyota,piramidi,satanic eye,nk alama zote hizo zinalengo moja kuu nalo ni mazindiko! Na kama ujuavyo mazindiko yote ni moja ya ibada za kishetani ambazo hujumuisha majini,mapepo,mizimu,roho chafu pamoja na kafara hasa kafara ya damu ya binadamu!

Na ukifuatilia kwa umakini utagundua hao ma-FREEMANSONS & ILLUMINATI wana origin ya sehem moja nayo ni UJERUMANI ktk jimbo moja linaitwa BAVARIA!

Sasa swala la kujiuliza ni hili ikiwa dunia ya sasa ya sayansi na technology mambo ya mashetani na makafara yapo ktk ela kubwa kama USD na tena kwa kiasi kikubwa SEMBUSE ENZI ZILE ZA GERMANY EMPIRE?.sasa ndio nakuja kwenye Rupia,nikweli ile coin ya rupia inamaajabu flan ambayo yakichanganywa na mazindiko na kafara zingine huwa inaleta kile mtu anakuwa anatake either pesa,cheo au utajiri hii inatokana kuwa ela ya rupia ilipata zindiko la damu ya binadamu wkt wa utengenezaji inasadikiwa madin yaliyotumika kuitengeneza yalikuwa yakichanganywa na damu za binadam thats y wajeruman wkt wanaondoka walizificha hzi ela sehem mbalimbali za tanzania hasa ktk maboma,makanisa(moravian),mito,visima na mashimo marefu.

sehem nyingi hupatikana mkoa wa mbeya,iringa na swanga! Na wajeruman waliweka alama kibao hasa katika magome ya miti mikubwa na mawe na huwa wanakuja kuchukua hizo rupia + madini mengine waliyoyaifadhi baadhi ya sehem zilikofichwa madini haya kwa mkoa wa mby ni hizi hapa,
1.Wilaya ya chunya-makongorosi-kijiji cha ujerumani(hapo panamgodi wa dhahabu wa zaman wa mjerumani ni DEEP GOLD MINE)kunamashimo makubwa ma4 nimakubwa sana!, 2.Sehem zote zilizojengwa hospitali za mission za moravian hasa na mjerumani flan ambaye kwa sasa ni marehemu ila watoto wake wanaendeleza game anaitwa LENHNER(LENA) hospitali ya mbalizi,IFISI SONGWE NA MATEMA BEACH!
Habari zaidi
 
Kuna babu mmoja alinihadithia hapa kazini kwetu kwamba wao walienda huko Lushoto ndani ndani mapangoni kutafuta mali kama hizo mnazozisema. Yeye anadai hawakufanikiwa kuzipata sema waliishia kukutana na majoka makubwa makubwa tu huko ambayo yeye anadai ndio walinzi wa hizo mali na yeye anadai ameona kwa macho yako hayo majoka mapangoni yanalinda mzigo na alifika hadi kwenye mzigo wenyewe.

Problem anasema majoka makubwa yamezingira mzigo . Sijui ameniambia ukweli au amenivuta mguu :happy:
Habari zaidi
 
Wakuu kule GEITA kuna kijiji kijiji kinaitwa BUGOGO nikamji kadogo tu kako eneo linaitwa BUKOLI kuna JUMBA kubwa sana limejegwa kwenye mlima wa kufikirika eneo ni tambarare ila msingi WA HILO JUMBA mpaka utashangaa!!!!!!! LILIJENGWA NA WAJERUMANI ila kwa sasa wanaishi WAARABU wa mwanza inaonekana pale CHINI YA ULE MSINGI KUNA SHEHENA KUBWA sana ya DHAHABU na kule GEITA kuna eneo kubwa xana lina mashimo marefu xana inaxemekana palikuwa na MGODI WA WAJERUMANI inamaana wameacha vitu vyao humo! MAGOLD!
Habari zaidi
 
Nikweli hizo coins ni BZ tena yenye PESA mingi sana Ingawa czote! na Wateja wake ni WafanyaBiashara wakubwa kwaajili ya kuzipa NGUVU na MVUTO bidhaa zao! Wateja wengine ni hawa Jamaa wanomiliki hivi viJIWE wanavyoita maKANISA! hzo coins ni maJINI completly ukitaka kufanya hiyo BZ kwamaana yakwenda kuziska huko vijjn lazima uhudhulie sana kwa waGANGA bila hivyo hutafanikiwa mm nafahamu hao ndg wanaofanya hzo dili km unayo niPM nikuelekeze wanazotaka ukapige NOTI ingawa pia kuna utapeli mwingi kwenye hzo BZ
Habari zaidi
 
Waogopeni sana hawa wanaosema kuna mtu anataka hela kidogo ili ampe kijana wake aje muuze...
wako wengi sana mjini. Mimi nimepata kukutana na wanaozitafuta hizi na kuna list ya vitu vingi sana ninayo.
Habari zaidi
 
Nilianza kusikia habari za Rupia mwishoni mwa miaka 1990. ilikuwa hivi.

tulikuwa kundi la vijana kama saba hivi. Akaja mshikaji mmoja akanivuta pembeni na kunionyesha Sarafu huku akiniuliza ikiwa naifahamu sarafu hiyo. Nilishika na kuitazama na kujibu haraka hili li-hela la kenya la nini. ananiambia litazame vizuri. nikaona limeandikwa Rupia 1 huku likiwa na picha ya mtu aliyevaa kofia huku juu ya kofia kukiwa na picha ya ndege. Nilimdharau kwa kumwambia hiyo sarafu haina manufaa yoyote. niliyooa imeandikwa Rupia, harakaharaka akili yangu ilinipelekea kuw ani Rupee inayotumika India.


Mshikaji yule kwa kuninong'oneza aliniambia kuwa anakwenda kumpeleka mzungu aliyekuwa katika hotel mojakubwa jijini mwanza na wataondoka wote kwenda Dar na atakaporudi atakuwa na magari mawili aina ya Canter Elcher ( kipndi hicho ndio zimeingia) na kubaki na pesa za kutosha kujenga yumba na kuendeasha maisha yake! Nilimcheka lakini alionekana yupo makini na tukaachana akienda kwa mzungu wake


baadaye katika mazungumzo na watu wenye umri mkubwa zaidi "walishangazwa" kwa hatua yangu ya kupata bahati ya kuishika Rupia halafu na kuiachia wakisema kuwa nimekosa "Utajiri". walisema Serafu hiyo inatafutwa kwa udi na uvumba na kuwa kuna watu wako tayar kutoa mamilioni ili kupata sarafu hiyo yenye "Madini" yanayotafutwa sana na wajerumani.


Kwa kadri muda ulivyokw aukisonga mbele idadi kubwa ya watu ambao nilibahatika kuzungumza nao kuhusu sarafu hizo za ujerumani walieleza kuwa zinatafutwa sawa, sambamba na vitu kama Pasi n.k lakini hakuna hata mmoja alyewahi kueleza kumfahamu au binafsi aliyewahi kupata hayo mamilioni kutokana na sarafu hizo.

kuda idadi kubwa ya watu waliopoteza kiasi kikubwa cha fedha au hata kufilisika wakiwa katika harakati za kusaka rupia au hata kutafuta soko baada ya kuipata sarafu hiyo. kikubwa ni utapeli unaofanyika na hili niigundua kwa njia mbili.

Moja atakuja mtu anakwambia anataka Rupia ili akupe, tuseme milioni 10. lakini mwisho wa siku atakuja mtu mwingine anakwmabia anayo na mwisho utampa milioni tano ukitegemea atuakuja uza kw amilioni 10 kumbe ola.
Habari zaidi
 
Mkuu nimekufatilia kwa ukaribu sana na nimepata picha fulani,kuna kipindi niliishi pale Mpanda kwasasa mkoa wa Katavi,kuna eneo moja almaarufu kama "kampuni",ukifika hapo utakuta mashimo makubwa na marefu(yasio na kadirio la urefu) na ardhi iliyo badirika na kuwa katika hali ya jangwa baadhi ya nyumba za kizamani,pamoja na mlima mrefu wa kokoto ambazo haziishi miaka nenda rudi..
Katika masimulizi ya wakazi wapale unaambiwa katika baadhi ya hizo nyumba kuna nyumba moja ambayo mjerumani anaondoka aliicha kafunga kufuri moja kubwa sana katika chumba kinachoonekana ni underground na kunaidadi ya wazawa walio wahi kujaribu kubomoa huo mlango na hilo kufuri kwa kila namna lakini hakuana alie fanikiwa,inasemekana mjerumani hapo pia aliacha mali nyingi sana katika hicho chumba..Fikiri kuanzia Muingereza kuchukua hii nchi kwa wakati hule pia hakuweza kufanikisha pia kupata nafasi ya kubomoa hilo jumba.
Pia katika hayo mashimo inasemekana Mjerumani wakati anaondoka alitoboa miamba ambayo ilifanya maji ya jae katika hayo mashimo pia kunatetesi kuwa kunabaadhi ya watu walijaribu kutumbukia kutafuta kilichomo na walipotelea na hawa julikani wala maiti hazikuonekana,pia na kumbuka katika ushuhuda fulani tulichukua mawe makubwa makubwa na kutupia pindi jiwe litumbukiapo katika hayo mashimo husikia likisafiri bila ya kusikia hitimisho lake,na wenyeji wanakwambia kuwa kunaidadi kubwa ya wananchi waliotembelea eneo hilo nakutupa mawe lakini halijawahi kujaa walakuonyesha dalili za kujaa..Pia ni idadi kubwa sana ya waswahili wanao fika pale kwenda kutafuta utajiri
Habari zaidi
 
mimi nimesoma iyunga technical sec.school pale mbeya,hii habari za kutafuta rupia ni kweli kabisa nakumbuka mwaka 1996-1999 kuna jamaa walikuja kuchimba shimo kukwa na refu tu kule kwenye bweni la ruthuli wakutafuta hizo rupia,sasa sijui kulikuwa na mkono wa serikali sijui kwakuwa jamaa wakuja wamejandaa na walikuwa na dhana za kazi za uhakika
Habari zaidi
 
Shemeji yangu amewah kupata rupia akaenda huko alivo rudi kanunua haice na nyumba mbeya mjini na vitu vingi sana baada ya miaka 3 alifilisika na aliuza vyote. mwaka 2014 alikuja mzungu hapa Ludewa antafta pesa za zamani sio kila pesa ya zaman.
Habari zaidi
 
Maeneo mengi yapo kwenye kambi za wazee wa kazi. Kuna mjerumani alikuja kufuatilia mali za babu zake ramani ikamuingiza kambini. Ndo ulawa mwisho wa safari baada ya jitihada zote kugonga mwamba
Habari zaidi
 
Chief naweza kukushauri kwa experience yangu ya miaka zaidi ya 10 kuhusu hizi mali za wajerumani kama unataka kutoa
1.ukitaka kutoa shirikiana na wajerumani wenyewe japo watakupa % ndogo sana
2.tumia nguvu za mungu plus watu wazoefu kweli kweli ambao wanaweza kusoma alama na mitego ya wajerumani bila ya kupata madhara
Kwa uzoefu wangu sijawahi ona au sikia mtu aliyeweza kutoa mali hizi za wajerumani kwa uganga au uchawi wengi wanaishia kudhurika,kupata vilema vya maisha ama na kufariki kabisa,kitu cha muhim ujue ni kwamba wajerumani hizi mali hawakuziacha hv hv walizindika na kuweka mitego mingi sana mfano sumu za powder walikuwa wanachanganya na udongo so ukiwa unachimba shimo kwenda kwenye mzigo bila ya kujua unakuwa unavuta hiyo sumu taratibu mwisho wa siku unafia shimoni humo humo hii imeua watu wengi sana,mitego mingine ni carbon monoxide na kemikali zingine zenye uwezo wa kudhuru mwili kwa haraka ndiomaana ukienda sehem ambazo wajerumani wametoa mzigo huwa wanatumia excavator ili ku avoid contact na hizi sumu hata kama ni umbali wa mita 5 tu kwenda chini watafukua eneo kubwa sana zaidi ya sq mita 25 ilimradi ku expose udongo mwingi sehemu ya wazi angalia picha hizi chini ni baadhi ya maeneo waliyotoa mizigo mwaka jana mbyView attachment 317512View attachment 317513View attachment 317514
Habari zaidi mbn Kama eneo Lina maji kwa Sasa?
 
Back
Top Bottom