Mkuu kutokana na uzoefu wangu ktk sekta mbalimbali nianze na hv,kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya FREEMANSORY au ILLUMINATI na alama zao kishetani utagundua kuwa alama zao nyingi hupenda kuziweka kwenye fedha iwe ya coin au noti mfano mzuri ni USD ambayo ina bundi,fuvu,nyota,piramidi,satanic eye,nk alama zote hizo zinalengo moja kuu nalo ni mazindiko! Na kama ujuavyo mazindiko yote ni moja ya ibada za kishetani ambazo hujumuisha majini,mapepo,mizimu,roho chafu pamoja na kafara hasa kafara ya damu ya binadamu!
Na ukifuatilia kwa umakini utagundua hao ma-FREEMANSONS & ILLUMINATI wana origin ya sehem moja nayo ni UJERUMANI ktk jimbo moja linaitwa BAVARIA!
Sasa swala la kujiuliza ni hili ikiwa dunia ya sasa ya sayansi na technology mambo ya mashetani na makafara yapo ktk ela kubwa kama USD na tena kwa kiasi kikubwa SEMBUSE ENZI ZILE ZA GERMANY EMPIRE?.sasa ndio nakuja kwenye Rupia,nikweli ile coin ya rupia inamaajabu flan ambayo yakichanganywa na mazindiko na kafara zingine huwa inaleta kile mtu anakuwa anatake either pesa,cheo au utajiri hii inatokana kuwa ela ya rupia ilipata zindiko la damu ya binadamu wkt wa utengenezaji inasadikiwa madin yaliyotumika kuitengeneza yalikuwa yakichanganywa na damu za binadam thats y wajeruman wkt wanaondoka walizificha hzi ela sehem mbalimbali za tanzania hasa ktk maboma,makanisa(moravian),mito,visima na mashimo marefu sehem nyingi hupatikana mkoa wa mbeya,iringa na swanga! Na wajeruman waliweka alama kibao hasa katika magome ya miti mikubwa na mawe na huwa wanakuja kuchukua hizo rupia + madini mengine waliyoyaifadhi baadhi ya sehem zilikofichwa madini haya kwa mkoa wa mby ni hizi hapa,
1.Wilaya ya chunya-makongorosi-kijiji cha ujerumani(hapo panamgodi wa dhahabu wa zaman wa mjerumani ni DEEP GOLD MINE)kunamashimo makubwa ma4 nimakubwa sana!, 2.Sehem zote zilizojengwa hospitali za mission za moravian hasa na mjerumani flan ambaye kwa sasa ni marehemu ila watoto wake wanaendeleza game anaitwa LENHNER(LENA) hospitali ya mbalizi,IFISI SONGWE NA MATEMA BEACH!