Rushwa imehalalishwa? Mbona sehemu nyingi ukienda watu wanadai rushwa bila kificho?

Rushwa imehalalishwa? Mbona sehemu nyingi ukienda watu wanadai rushwa bila kificho?

Toa tu mkuu, hata ukuwachoma wapokea rushwa wakikujua utaumuzwa wewe.

Ni watu 7 tu nchi hii wakiwa seriazi kupambana na rushwa vitendo vitapungua.
 
Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.

3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),

4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti
Nimetoka ofisi za Ardhi Kilosa last week ni hayahaya
Kuna kila dalili huyu mama kawaruhusu watuumize
 
Chama Chenye Ilani Ambayo Imeiweka Serikali Kwa Hira Watasema Nini Juu Ya Rushwa Hii
20240527_075328.jpg
 
Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.

3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),

4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti
Mliambiwa Magufuli mtetezi wa wanyonge mkakataa haya na hiyo ni trailer mkanda ni kwanzia 2025 mpka tuseme
 
Ruhusa gani zaidi ya hizi?
  • Mkwere...kula uliwe
  • Jiwe...za kubrashia viatu
  • Ushungi...kwa urefu wa kamba
  • CCM...Baba lao, Chama Cha Mafisadi/Chukua Chako Mapema!
 
Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.

3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),

4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti
Rushwa ndiyo mtindo, vumilia tu.
 
Back
Top Bottom