Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vigogo wanapora mashamba yetu kwa maelekezo toka juuKilosa kimekukuta nini mkuu
Welcome to reality, nawahurumia takukuru, wanafanya kazi na jamii ambayo ina value rushwa. Just imagine how hard is thatWakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
Tunayebishana naye ni chawa na hater wa Magufuli, kwa hiyo hawezi kuliona hilo.Tuwe honest wazee kipindi cha magu rushwa ilipungua kabisa ulikuwa ukienda hosii unahudumiwa ipasavyo now days unaweza ukafa au ukampoteza mpendwa wako kizembe sana
KabisaTunayebishana naye ni chawa na hater wa Magufuli, kwa hiyo hawezi kuliona hilo.
Hata Dawasa utaambiwa hakuna vifaa lakini ukitoa rushwa utaunganishwa siku ya pili, wakati ushalipia control namba 400000-Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
Kikwete ametufikia Tena...Ninaanza kujiaminisha kwamba zile enzi za uongozi legelege kama wakati wa Kikwete zimerudi kwa kishindo. Inaumiza!
Mambo yameharibika sana - jkWakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? Mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Dawa akanunue kwenye pharmacy za staff nje ya geti
5. POLISI @trafiki - highway bagamoyo @msata kabuku SAME mwanga.
Umerogwa SI Bure. Muda na wakati wote unafikiria na kitengeneza ubaya Kwa magufuli. Mpaka umekuwa zuzuUmeruka awamu.Na nia ni kutaka kuonesha kuna rais alikuwa bora hadi ukimkumbuka unabubujikwa machozi.Hayupo.
Lini rushwa iliisha? Hata enzi za JPM ulikua haupati passport au kuwekewa umeme mpaka uhonge.Ninaanza kujiaminisha kwamba zile enzi za uongozi legelege kama wakati wa Kikwete zimerudi kwa kishindo. Inaumiza!
Sio ubaya ila acheni unafiki kwamba awamu ya JPM kulikua hakuna rushwa? Kwamba trafiki walikua hawaombi rushwa enzi za JPM?Umerogwa SI Bure. Muda na wakati wote unafikiria na kitengeneza ubaya Kwa magufuli. Mpaka umekuwa zuzu
Miaka yote rushwa ipo haijawahi kuisha whether JK au JPM rushwa ipogo. kasome ripoti za TAKUKURU kila mwaka ni mabilion wanaripoti yalitolewa kama rushwa haijalishi Rais alikua nani? Msiwe mnaropoka tu.Jibu swali, nani amesema rushwa ilipotea? Hata kuelewa swali nako ni shida!
Kama huwezi kujibu swali langu, basi jibu la mleta mada. Ameuliza kama rushwa imehalalishwa.