Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna uwezekano kila unachokiandika aidha hukielewi au wewe ni roboti.Upoupo tu.Kila unachokiandika husomwa katikati ya mistari na intentions zake.Jibu swali, nani amesema rushwa ilipotea? Hata kuelewa swali nako ni shida!
Mimi naandika kama independent, wewe unaandika kama chawa; hiyo ndiyo tofauti yetu.Kuna uwezekano kila unachokiandika aidha hukielewi au wewe ni roboti.Upoupo tu.Kila unachokiandika husomwa katikati ya mistari na intentions zake.
Tukisema upigiwe kura za uchawa utakuwa wa pili au wa tatu.Chawa mwandamizi wewe!Mimi naandika kama independent, wewe unaandika kama chawa; hiyo ndiyo tofauti yetu.
Jibu swali la mleta mada sasa.Tukisema upigiwe kura za uchawa utakuwa wa pili au wa tatu.Chawa mwandamizi wewe!
Rushwa inaendelezwa.Jibu swali la mleta mada sasa.
Rais Wa JMTToa tu mkuu, hata ukuwachoma wapokea rushwa wakikujua utaumuzwa wewe.
Ni watu 7 tu nchi hii wakiwa seriazi kupambana na rushwa vitendo vitapungua.
Nimetoka ofisi za Ardhi Kilosa last week ni hayahayaWakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti
NWMRais Wa JMT
Makamu Wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu
DG~PCCB
Jaji Mkuu
....
........
Chama Chenye Ilani Ambayo Imeiweka Serikali Kwa Hira Watasema Nini Juu Ya Rushwa Hii
Mliambiwa Magufuli mtetezi wa wanyonge mkakataa haya na hiyo ni trailer mkanda ni kwanzia 2025 mpka tusemeWakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti
Makamu wa Rais ni Toothless.Rais Wa JMT
Makamu Wa Rais
Waziri Mkuu
Naibu Waziri Mkuu
DG~PCCB
Jaji Mkuu
....
........
Tuwe honest wazee kipindi cha magu rushwa ilipungua kabisa ulikuwa ukienda hosii unahudumiwa ipasavyo now days unaweza ukafa au ukampoteza mpendwa wako kizembe sanaNani kasema rushwa ilipotea?
Kilosa kimekukuta nini mkuuNimetoka ofisi za Ardhi Kilosa last week ni hayahaya
Kuna kila dalili huyu mama kawaruhusu watuumize
Anazungumzia Viwango sio kuwepo au kutokuwepo 🙄👁Mkuu uko nchi hii hii?
Rushwa ipo tangu enzi za Mwalimu!
Rushwa ndiyo mtindo, vumilia tu.Wakuu hivi ni mimi sina taarifa au vipi? mbona kila sehemu ukienda watu wanadai rushwa bila kificho? Immigration, TANESCO hata TRA. Nini kimetokea ghafla?
1. Immigration - ili upate passport lazima ujipange sawasawa, zile siku zilizoainishwa ni geresha?
2. Kuwekewa umeme - unaambiwa hamna nguzo, hadi uwape chochote, nguzo zinapatikana siku hiyo hiyo.
3. Tunduma na Kasumulu Border posts - kila ukigusa Ni mwendo wa rushwa kuanzia (polis, TRA),
4. Hospitali - Mwananyamala pamoja na makamera kukaa kila corridor hiyo nyomi Lazima ulazimishwe kutoa Chochote. Sawa akanunue pharmacy nje ya geti