one b
JF-Expert Member
- Jun 30, 2017
- 1,483
- 3,727
Mkuu ukiona mwanaume umeshindwa vumilia njaa..hii dunia hutapiga hatua popote yaani kuna mambo yafanye kiume yaende kiume...kulalamika sana hakutakusaidia...hata kama huna hela ungeongea nae vizur tuu nazan angekuelewa. Sasa huku forum ndio mahakaman, yaan kwa malalamiko yako tuu nakuombea hata hiyo kazi unayo omba usiipate.