Rushwa ya trafiki sasa ni bila kificho, yakijiri mpo?

Rushwa ya trafiki sasa ni bila kificho, yakijiri mpo?

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari.

Najiuliza mbona sijawahi kusikia TAKUKURU wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Visenti vidogo vya kubrush viatu mkuu 😂😂
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
A failed state, FAILED STATE
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
9153DCA4-1F13-4638-AC67-7CD9A741C064.jpeg
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Hiyo ni kawaida mshahara hautoshi, na bidhaa zimepanda bei karibia mara mbili
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Magufuli aliidhinisha rushwa ya trafiki.
 
"dereva anapoona trafic anaehakikisha usalama wao na vyombo vyao vya usafiri amepigwa jua na anahitaji maji ya kunywa, basi inaruhusiwa kumpelekea maji au kumpa kiasi kidogo cha fedha kwajili ya kununua maji ya kunywa".

Siku likisanuka tegemea utetezi👆 kama huo hapo juu kutoka kwenye kinywa cha mramba asali mmoja.
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono...
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Rushwa kwa traffic haiishi sababu traffic hawampori mtu wanashawishiwa na watoaji.

Wewe ukitaka ife kusanya tu usahidi usio na shaka mtu afukuzwe kazi halafu hali itakayokuwa barabari na vituoni utakuja tena hapa kulalamika pamekuwa pagumu sana barabarani.
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari.

Najiuliza mbona sijawahi kusikia TAKUKURU wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Na wanakusanya pesa ndefu tu per day.
 
Nikuulize mtoa mada, ungekuwa wewe ndiye dereva wa daladala, ungetoa alfutatu au upigwe mkeka wa alfu 30?
Ungechagua kipi?

Acha umbea kwenye kazi za watu, wenyewe wanajuana.

Ukitaka kujua uchungu wa kupigwa faini waulize madereva wa kirikuu.
 
Kuna Syndicate mkuu, niliwahi weka humu hio syndicate uzi jkafutwa faster.

Kwa kifupi Hizo rushwa zinanufaisha watu wengi sana kuna chain ndefu sana kwenye rushwa ya trafiki hao.
Kuna chain ya vigogo wakubwa
Wa polisi na wako kwenye mgao huo
Hao traffic ni kama wanatumwa tu

Ova
 
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni...
Rushwa ya polisi siyo kitu cha kuuliza, huo mgawo unaenda mbali sn kwa wakubwa
 
Nimejiuliza tu baada ya leo kusimamishwa na askari halafu nikamtoa ten, asa fanya kwamba kaanza kazi sa 12 asubuhi halafu kafunga saa tatu usiku, hapo hivi hakosi lakitano wakuu

Kwahio hesabu ya haraka haraka kwa mwezi ana mil 15. Hii pesa ndefu sana; nahisi hawa jamaa wakiamua wanauwezo wa kununua gari kila mwezi.
 
Back
Top Bottom