Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Wasingekuwa wananuka shida, unaongea trafik police wa Kariakoo sio kibondo na kakonko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo pesa za matrafiki zina laana, hamna trafiki mwenye kumiliki jengo la ghorofa kariakoo au apartment dar es salam, wote wanaishia kujenga vibanda na kumiliki vigari vya aina ya baby walker.Nimejiuliza tu baada ya leo kusimamishwa na askari halafu nikamtoa ten,..asa fanya kwamba kaanza kazi sa 12 asubuhi halafu kafunga saa tatu usiku.,hapo hivi hakosi lakitano wakuu
Kwahio hesabu ya haraka haraka kwa mwezi ana mil 15....hi pesa ndefu sana nahisi Hawa jamaa wakiamua wanauwezo wa kununua gari kila mwezi...
DuuJamaa hawaachagi kitu nyuma Kuna mmoja alichukuaga ndizi mbovu zangu kiutaniutani tuh
Mazungumzo ya nini mkuu ...zungumza mkuu haya maisha yetu soteUko wapi? Tunamazungumzo na wewe
Sasa mkuu 150k si ni magari matano tu? barabarani yanapita zaidi ya magari 1000 kwa sikuKitu umatakiwa kuelewa mikoa mikubwa traffic Wana day la 150k ambayo wanatakiwa wapekeke ofisini baada ya hapo kinachofuata ni chao.
Ukuona traffic kakusimamisha ukampa ten akajomaa kukuandikia unue hajafikisha 150k ya ofisi na hapo ndio hata kosa la kukuonya unaandikiwa.
Asipofikisha hesabu hapangiwi barabara
Hiyo ni ya ofisi sio yake😂Sasa mkuu 150k si ni magari matano tu? barabarani yanapita zaidi ya magari 1000 kwa siku
Ndio 150k sio yake ila ni magari matano tu hayo....Hiyo ni ya ofisi sio yake[emoji23]
Kuna mmoja Simiyu alinikamata na tochi ya overspeed , i was doing 65 in a 50km/h zone, huku na huku akawa anakomaa 10000, au aniandikie , mi nikawa nataka nimtoe 5000, baada ya kulia lia sana ikabidi anipe ukweli , kasema bro hiyo teni ningekuwa nachukua peke yangu ningekuwa tajiri , maana nikikamata gari kumi tu ni laki,tatizo hadi mkuu wa idara anaitolea macho na anahesabu kila gari tunayokamata. Ilibidi nimpe tu ten. Ila kwa point waliyokuwa wamekaa na tochi yao naamini walitengeneza zaidi ya milioni siku ileKitu umatakiwa kuelewa mikoa mikubwa traffic Wana day la 150k ambayo wanatakiwa wapekeke ofisini baada ya hapo kinachofuata ni chao.
Ukuona traffic kakusimamisha ukampa ten akajomaa kukuandikia unue hajafikisha 150k ya ofisi na hapo ndio hata kosa la kukuonya unaandikiwa.
Asipofikisha hesabu hapangiwi barabara
Hela ndogo sana hiyoNimejiuliza tu baada ya leo kusimamishwa na askari halafu nikamtoa ten,..asa fanya kwamba kaanza kazi sa 12 asubuhi halafu kafunga saa tatu usiku.,hapo hivi hakosi lakitano wakuu
Kwahio hesabu ya haraka haraka kwa mwezi ana mil 15....hi pesa ndefu sana nahisi Hawa jamaa wakiamua wanauwezo wa kununua gari kila mwezi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa hawaachagi kitu nyuma Kuna mmoja alichukuaga ndizi mbovu zangu kiutaniutani tuh
Nimejiuliza tu baada ya leo kusimamishwa na askari halafu nikamtoa ten,..asa fanya kwamba kaanza kazi sa 12 asubuhi halafu kafunga saa tatu usiku.,hapo hivi hakosi lakitano wakuu
Kwahio hesabu ya haraka haraka kwa mwezi ana mil 15....hi pesa ndefu sana nahisi Hawa jamaa wakiamua wanauwezo wa kununua gari kila mwezi...
Ndio hivyo; siku hizi unaona Hadi maboss wao wanakaa barabarani maana waligundus kuwa hawapati mgao sawa sawa hivyo nao wanasonga frontKuna mmoja Simiyu alinikamata na tochi ya overspeed , i was doing 65 in a 50km/h zone, huku na huku akawa anakomaa 10000, au aniandikie , mi nikawa nataka nimtoe 5000, baada ya kulia lia sana ikabidi anipe ukweli , kasema bro hiyo teni ningekuwa nachukua peke yangu ningekuwa tajiri , maana nikikamata gari kumi tu ni laki,tatizo hadi mkuu wa idara anaitolea macho na anahesabu kila gari tunayokamata. Ilibidi nimpe tu ten. Ila kwa point waliyokuwa wamekaa na tochi yao naamini walitengeneza zaidi ya milioni siku ile