Visenti vidogo vya kubrush viatu mkuu 😂😂Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
A failed state, FAILED STATELeo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Hiyo ni kawaida mshahara hautoshi, na bidhaa zimepanda bei karibia mara mbiliLeo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Magufuli aliidhinisha rushwa ya trafiki.Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni Mawasiliano no. T 166 EAD. Tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari. Najiuliza mbona sijawahi kusikia takukuru wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Nchi imekuwa corrupted,yaani maadui wa Tanzania wameongezeka ,ujinga,Maradhi,CCM,na Rushwa
Dr chui alishawaruhusu wale kwa urefu wa kamba zao.Hiyo CCM ni hatari zaidi kwa ustawi kwa nchi
[emoji38][emoji38][emoji38]Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono...
Na wanakusanya pesa ndefu tu per day.Leo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni. Kisha konda akachukua hela akampa dereva akawapelekea askari wakaipokea tukaendelea na safari.
Najiuliza mbona sijawahi kusikia TAKUKURU wamemkamata askari trafiki kwa rushwa wakati zinatolewa waziwazi? Kweli unapigwa mwingi.
Kuna chain ya vigogo wakubwaKuna Syndicate mkuu, niliwahi weka humu hio syndicate uzi jkafutwa faster.
Kwa kifupi Hizo rushwa zinanufaisha watu wengi sana kuna chain ndefu sana kwenye rushwa ya trafiki hao.
Rushwa ya polisi siyo kitu cha kuuliza, huo mgawo unaenda mbali sn kwa wakubwaLeo majira ya saa 5.20 asubuhi nikiwa ndani ya daladala la Mbweni-Mawasiliano no. T 166 EAD, tulipofika Mwenge mataa askari wakawapungia mkono ili wasimame pembeni...