green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Russia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafikiNdege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
Russia na Israel hawana ugomvi ila Russia yupo Syria na 2018 aliwahi kumsaidia Syria kwa s-300 kudungua ndege ya Israel ilipovamia Damascus.Russia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki
ππππππ Mmeamza kujipendekeza kwa Russia..we tulia haujui kitu..Russia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki
Kauli hiyo imetoka kwa myahudi toka KishapuWarabu wa Kisiju sasa uwanja ni wao
Kwamba Wayahudi wa Russia sasa wanapiga wayahudi wa Israel?Ndege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
Ila mzee unajionaga mjuaji kudharau watu humu?Russia na Israel hawana ugomvi ila Russia yupo Syria na 2018 aliwahi kumsaidia Syria kwa s-300 kudungua ndege ya Israel ilipovamia Damascus.
Hao ni marafiki wana common interest.
Hata Iran haina ugomvi na Ukraine lakini ilimpa silaha makombora na kamikaze drones Russia impige Ukraine.
Utakua hujui what is geopolitical interests or diplomacy.
Acha kujitoa ufahamu Warusi na wa Ukraine si niwalewale mbona wanauwana Israel yupo na Marekani lazima afinywe tuKwamba Wayahudi wa Russia sasa wanapiga wayahudi wa Israel?
Take it easy bro humu tunaongea tu don't take it serious.Ila mzee unajionaga mjuaji kudharau watu humu?
Wewe peke yako ndiye unajua geopolitical dipromacy humu?
Haya bhana!
Ila israel kasema safari atakaemshambulia atajibu vikali msifikiri ni kama kipinde kile iran karusha makombora yake 300 yakapanguliwa yote sasahivi israel itajibu sasa sijui atatumia nuklia ngoja tuone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmeamza kujipendekeza kwa Russia..we tulia haujui kitu..
Kipigo hawezi kukiepuka na hizo nuke kwani anazo peke ake atagongwa nazo tuIla israel kasema safari atakaemshambulia atajibu vikali msifikiri ni kama kipinde kile iran karusha makombora yake 300 yakapanguliwa yote sasahivi israel itajibu sasa sijui atatumia nuklia ngoja tuone
Maandalizi ya kipigo ππππ¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨Update: Emergency arms shipments to Iran!! The Russian Gelix Airlines, which specializes in arms transport, has just landed in Tehran with a high priority arms shipment!!Russia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki
Ila ile Yomkippur war kama Russia alihusika basi alijua kumkaanga Israel na USA πππmaana tifu lililopigwa pale Sinai halikua dogo halikua la kitoto AISEE.Kama kweli Urusi kapeleka silaha Iran basi ni Kwa ajili ya USA,maana inasemekana USA kapeleka wanajeshi huko.
Kinachowatenganisha Urusi na Israel ni USA.
Mahala popote alipo USA basi Urusi atakua kinyume chake.
Na mahala popote alipo Urusi basi USA atakua kinyume chake.
So kama USA atakua upande wa Israel kumpiga Iran basi Urusi atakua upande wa iran kupambana na USA.
Hii imewahi kutokea huko nyuma.
Toka zama za Yom kippur na seven day war.