Russia Army yapeleka ndege yenye zana Tehran

Russia Army yapeleka ndege yenye zana Tehran

Sa si ndo siraha zilezile zilizotumika na zinatumika Ukraine pia kwahiyo Mzigo wa Shaheed umerudishwa kwao
Tutaona pale Netanyahu na mawaziri wake watakapo toa mlio kama Zelensky kwa sasa wapo kwenye mapango kama nguchiro
 

Attachments

  • images-12.jpeg
    images-12.jpeg
    9.5 KB · Views: 2
Anashusha shehena ya zana vita Tehran, halaf huku anarud anawapa wahayud code za ku diffuse silaha .
Ahahaha.
Ku deal na wenye akili inahitaji mssada wa Mungu tu
 
Hizi ni spiculation tu!
Hakuna kitu kama hicho! Isipokuwa kama Marekani itaingia katika vita hivyo ndipo Russia inaweza kuingia vitani.
 
Ila israel kasema safari atakaemshambulia atajibu vikali msifikiri ni kama kipinde kile iran karusha makombora yake 300 yakapanguliwa yote sasahivi israel itajibu sasa sijui atatumia nuklia ngoja tuone
Hapana usiogope. Israel atajibu vikali na jibu lake atakalo toa litakuwa ni fundisho kwa wengine wenye nia na watakaothubutu kufanya kama huyo jamaa mvaa kobasi. Lakini hatotumia nuklia hata kidogo kwani mtanange unaoendelea kwa sasa bado sana haujafikia kiwango cha Israel kuhitaji matumizi ya nuklia. Kipigo anachotoa ni saiz yao na kinawatosha na kuzidi kidogo.
 
Hapana usiogope. Israel atajibu vikali na jibu lake atakalo toa litakuwa ni fundisho kwa wengine wenye nia na watakaothubutu kufanya kama huyo jamaa mvaa kobasi. Lakini hatotumia nuklia hata kidogo kwani mtanange unaoendelea kwa sasa bado sana haujafikia kiwango cha Israel kuhitaji matumizi ya nuklia. Kipigo anachotoa ni saiz yao na kinawatosha na kuzidi kidogo.
Hypersonic za Iran lazima zipenye kwenye mapango kumchomoa Netanyahoo na waziri wake
 
Take it easy bro humu tunaongea tu don't take it serious.
Hata huyo nilomjibu aliwahi kunikosoa pia.
Au kuna ubaya kukosoana kaka?
Kwa wael wanaoamini maandiko ya biblia. Nilisikia kuna sehemu inasema siku Israel atakapozingirwa na kupigwa na mataifa mengi basi mwisho wa dunia umekaribia.
 
Russia ameshindwa kwa watoto Ukraine mpaka leo zaidi mwaka bado anapigana tu.

Hapo anawadanganya wajinga anaenda kutoa msaada wa vifaa, kwani yeye havihitaji hivyo vifaa kwa ajili ya Ukraine?

Huyo Iran nae asieweza kujilinda, ataweza kutumia hizo silaha kwa mafanikio? atatumia nchi gani kurusha hizo silaha anazopewa msaada?

Hii vita nataka ianze haraka sana ili Israel athibitishe uwezo wake wa silaha, intelijensia, na mbinu za kivita kwa wote wanaojitoa akili, maana naona vile anavyowadungua magaidi mmoja mmoja mnaona kama anabahatisha.

The fact is; Myahudi anajiamini ndio maana hajawahi kuacha kuwatandika maadui zake popote walipo, hizi za kina Russia ni mbwembwe tu.

NB. Nashangaa sana kuona kuna wajinga mnaamini Israel atashindwa vita na Iran, hawa Iran ambao hawawezi hata kujilinda wenyewe wanapigwa mpaka chumbani kwao ndio wampige myahudi?!

You guyz can't be serious!.
 
kama nawaona ma ostazi wa matombo wakifurahia 😂😂
 
Back
Top Bottom