Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mashoga wateule wa mungu wanasema wenyewe sisemi mimiWatakuwa mashoga wa ajabu sana wanaowadondosha magaidi kila siku.
Sasa hao ni magaidi au ni zaidi ya mashoga?!
Najua nachoongea na hapa siongei hisia,ila naona naongea na mtu anayekariri vitu.Pole sana braza, jitahid uyajue haya mambo beyond hisia zako za ushabik. War is biznes hakuna rafik wala adui wa kudum..only benefits
Hizo ni propaganda za West, Mrusii ana madini zote unazozijuwa duniani pamoja na mafuta na gesi . Viwanda na wataalamu ndio usiseme , kitu kinachomshinda ni biasharaRussia mwenyew anategemea silaha za msaada za mchina na kiduku
Yote hayo alishayajua in advance ndiyo maana anafanya anayofanya kwa kujiaminiNdege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
We endelea kuimba hizo ngonjera ucheze ngoma huku ndugu zako katika imani wanadondoshwa tu kama njiwa.Ni mashoga wateule wa mungu wanasema wenyewe sisemi mimi
🙌kwa sasa bado sana haujafikia kiwango cha Israel kuhitaji matumizi ya nuklia.
Ni kweli ila hapa nahisi Mrusi anamwaga ugali kwa sababu ya chokochoko za USA ambaye hawezi muacha Israel apambane pekee yake na yeye ataingia front. Chokochoko za USA ukraine zita mugharimu sana kwani Kuna mataifa ambayo yanakuja kuwa na nguvu kubwa sana za kijeshi kwa kuwezeshwa na RusiaLinapokuja suala la israhell sina imani na wazungu wote
Unaweza ukaona upo nae au nao kumbe wenzako wanakuzunguka
Vita vibaya ila kama itakua sababu ya israhell kufyekwa acha vita ipiganwe
Russia mwenyewe anapumua kwa mashini kutokana na special military operation
Ndege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
north korea na ukraine wana ugomvi gani?Russia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki
hadi russia nae anaogopa israel tena? hizi taarifa huwa mnatoa wapiHii fake story, ingekuwa Russia and Israel ina uadui wa hivyo, Putin asingekuwa hai hadi leo hii..!! Israel will eliminate anyone who aims to destroy Israel, hivi unajua hata JF Kennedy aliuawa na muisrael baada ya kutaka kuzuia mpango silaha za nyuklia Israel..!! Putin hawezi fanya huo ujinga
![]()
Assassination of John F. Kennedy - Wikipedia
en.wikipedia.org
Naona tangu Iran awape aibu umeanza kutumia common sense badala ya mihemko ya kidini.Linapokuja suala la israhell sina imani na wazungu wote
Unaweza ukaona upo nae au nao kumbe wenzako wanakuzunguka
Vita vibaya ila kama itakua sababu ya israhell kufyekwa acha vita ipiganwe
Hii fake story, ingekuwa Russia and Israel ina uadui wa hivyo, Putin asingekuwa hai hadi leo hii..!! Israel will eliminate anyone who aims to destroy Israel, hivi unajua hata JF Kennedy aliuawa na muisrael baada ya kutaka kuzuia mpango silaha za nyuklia Israel..!! Putin hawezi fanya huo ujinga
![]()
Assassination of John F. Kennedy - Wikipedia
en.wikipedia.org
Kimenuka huko…Russia na Israel hawana ugomvi ila Russia yupo Syria na 2018 aliwahi kumsaidia Syria kwa s-300 kudungua ndege ya Israel ilipovamia Damascus.
Hao ni marafiki wana common interest.
Hata Iran haina ugomvi na Ukraine lakini ilimpa silaha makombora na kamikaze drones Russia impige Ukraine.
Utakua hujui what is geopolitical interests or diplomacy.