Strong Durable
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 474
- 700
Kaa Mbali na Ukungu ulipita na Kichwa Cha Mtu Sa hivi tunakwenda Kwenye season ya joto litaondika na huyu Ayatollah Muda utaongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Mnaishia kufurahi hivi lakini hakuna kinachotokea... This time mtoto wa Yakobo kaamua kuwashikisha ukuta..
We Mjukuu wa allah wa chongoleani acha uongo. Utakusaidia nini ilhali kila siku mnagongwa na Israel pale Mashariki ya kati?Russia na Israel hawana ugomvi ila Russia yupo Syria na 2018 aliwahi kumsaidia Syria kwa s-300 kudungua ndege ya Israel ilipovamia Damascus.
Hao ni marafiki wana common interest.
Hata Iran haina ugomvi na Ukraine lakini ilimpa silaha makombora na kamikaze drones Russia impige Ukraine.
Utakua hujui what is geopolitical interests or diplomacy.
Na anawagonga kwelikweliMnaishia kufurahi hivi lakini hakuna kinachotokea... This time mtoto wa Yakobo kaamua kuwashikisha ukuta..
Naona umeshiba Makande unakuja kujamba humu ndani.We Mjukuu wa allah wa chongoleani acha uongo. Utakusaidia nini ilhali kila siku mnagongwa na Israel pale Mashariki ya kati?
Sawa ila msije kulia lia huku kama gaza ndugu zetu waislamu wa Gaza wanauawa wanawake na watoto ndio hivyo mtapoililia IranKipigo hawezi kukiepuka na hizo nuke kwani anazo peke ake atagongwa nazo tu
Ni vifaa gani Russia alivyonavyo kashindwa kuvitumia ukraine mpaka anaviomba korea kaskazini na iran labda anamrudishia Iran vidrone vyake akivitumie israelNdege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
Au kuna shido?Take it easy bro humu tunaongea tu don't take it serious.
Hata huyo nilomjibu aliwahi kunikosoa pia.
Au kuna ubaya kukosoana kaka?
Hata kidogo hujui siasa za Rusia na Israel. Wakati Ukrein aliomba kupewa na Israel mifumo ya ulinzi wa anga ,haraka sana Putin alituma ujumbe kwenda Tel aviv kumuomba asiwape Ukrein hizo mifumo, Mayahudi wala hawakumjibu Zelensyk. Huko Syria Mayahudi anapiga kila mara, warusi wapo. Labda hizo safari zimebeba misaada mingine siyo siraha za kuishambulia Israel. Anajua uimara wa mifumo ya ulinzi wa anga ya Israel, kwamba ikifika Keyv kazi yake itakuwa ngumuNdege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
jibu kwa hoja mkuu , tueleze ujuaji wake tuamke usingiziniIla mzee unajionaga mjuaji kudharau watu humu?
Wewe peke yako ndiye unajua geopolitical dipromacy humu?
Haya bhana!
israel wana nukes , huwa mnajihaulisha hv hv baadae mnaanza kutia hurumaTutaona pale Netanyahu na mawaziri wake watakapo toa mlio kama Zelensky kwa sasa wapo kwenye mapango kama nguchiro
Russia aoneshe uwezo ndani ya UkraineNi kweli ila hapa nahisi Mrusi anamwaga ugali kwa sababu ya chokochoko za USA ambaye hawezi muacha Israel apambane pekee yake na yeye ataingia front. Chokochoko za USA ukraine zita mugharimu sana kwani Kuna mataifa ambayo yanakuja kuwa na nguvu kubwa sana za kijeshi kwa kuwezeshwa na Rusia
Urusi hana uadui huo na usa na kama urusi angekuwa hivyo angeshatandikwa zamani.Kama kweli Urusi kapeleka silaha Iran basi ni Kwa ajili ya USA,maana inasemekana USA kapeleka wanajeshi huko.
Kinachowatenganisha Urusi na Israel ni USA.
Mahala popote alipo USA basi Urusi atakua kinyume chake.
Na mahala popote alipo Urusi basi USA atakua kinyume chake.
So kama USA atakua upande wa Israel kumpiga Iran basi Urusi atakua upande wa iran kupambana na USA.
Hii imewahi kutokea huko nyuma.
Toka zama za Yom kippur na seven day war.
Anatafutwa America hapo hakuna Silaha ya Mrusi iinayopelekwa kwa ajili ya Israel bali ni kwa Western country kujibu misaada yao wanayopeleka ukraineRussia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki