green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
-
- #21
Tutaona pale Netanyahu na mawaziri wake watakapo toa mlio kama Zelensky kwa sasa wapo kwenye mapango kama nguchiroSa si ndo siraha zilezile zilizotumika na zinatumika Ukraine pia kwahiyo Mzigo wa Shaheed umerudishwa kwao
Hapana usiogope. Israel atajibu vikali na jibu lake atakalo toa litakuwa ni fundisho kwa wengine wenye nia na watakaothubutu kufanya kama huyo jamaa mvaa kobasi. Lakini hatotumia nuklia hata kidogo kwani mtanange unaoendelea kwa sasa bado sana haujafikia kiwango cha Israel kuhitaji matumizi ya nuklia. Kipigo anachotoa ni saiz yao na kinawatosha na kuzidi kidogo.Ila israel kasema safari atakaemshambulia atajibu vikali msifikiri ni kama kipinde kile iran karusha makombora yake 300 yakapanguliwa yote sasahivi israel itajibu sasa sijui atatumia nuklia ngoja tuone
Hapo mahasimu ni USA na Russia. USA anamsaidia kipenzi chake Israel na Russia kipenzi chake IranRussia na israel hawana ugomvi haiwezi kufanya hivyo ondoa stori zako za kinafiki
Unadhani Russia ni mpuuzi kiasi hicho!?Anashusha shehena ya zana vita Tehran, halaf huku anarud anawapa wahayud code za ku diffuse silaha .
Ahahaha.
Ku deal na wenye akili inahitaji mssada wa Mungu tu
Israel Isha prove weakness kuanzia October 7.wafanye yote ila wajue Israel sio Ukraine.
Endelea kujifarijiAnashusha shehena ya zana vita Tehran, halaf huku anarud anawapa wahayud code za ku diffuse silaha .
Ahahaha.
Ku deal na wenye akili inahitaji mssada wa Mungu tu
Hypersonic za Iran lazima zipenye kwenye mapango kumchomoa Netanyahoo na waziri wakeHapana usiogope. Israel atajibu vikali na jibu lake atakalo toa litakuwa ni fundisho kwa wengine wenye nia na watakaothubutu kufanya kama huyo jamaa mvaa kobasi. Lakini hatotumia nuklia hata kidogo kwani mtanange unaoendelea kwa sasa bado sana haujafikia kiwango cha Israel kuhitaji matumizi ya nuklia. Kipigo anachotoa ni saiz yao na kinawatosha na kuzidi kidogo.
Pole sana braza, jitahid uyajue haya mambo beyond hisia zako za ushabik. War is biznes hakuna rafik wala adui wa kudum..only benefitsUnadhani Russia ni mpuuzi kiasi hicho!?
Hao wameshirikiana sehemu nyingi sana.
Kwa wael wanaoamini maandiko ya biblia. Nilisikia kuna sehemu inasema siku Israel atakapozingirwa na kupigwa na mataifa mengi basi mwisho wa dunia umekaribia.Take it easy bro humu tunaongea tu don't take it serious.
Hata huyo nilomjibu aliwahi kunikosoa pia.
Au kuna ubaya kukosoana kaka?
Ni kweli israeli ni taifa la mashoga sio kama ukrainewafanye yote ila wajue Israel sio Ukraine.
Watakuwa mashoga wa ajabu sana wanaowadondosha magaidi kila siku.Ni kweli israeli ni taifa la mashoga sio kama ukraine
Israel is the gayest country on earth | Yoni Leviatan