Very smart commentsKama kweli Urusi kapeleka silaha Iran basi ni Kwa ajili ya USA,maana inasemekana USA kapeleka wanajeshi huko.
Kinachowatenganisha Urusi na Israel ni USA.
Mahala popote alipo USA basi Urusi atakua kinyume chake.
Na mahala popote alipo Urusi basi USA atakua kinyume chake.
So kama USA atakua upande wa Israel kumpiga Iran basi Urusi atakua upande wa iran kupambana na USA.
Hii imewahi kutokea huko nyuma.
Toka zama za Yom kippur na seven day war.
Biznes πPole sana braza, jitahid uyajue haya mambo beyond hisia zako za ushabik. War is biznes hakuna rafik wala adui wa kudum..only benefits
Russia mwenyew anategemea silaha za msaada za mchina na
Thubutuu; Kama zitafanikiwa hata kutua ardhini. Mbona zitageuzwa majivu zikiwa bado angani?Hypersonic za Iran lazima zipenye kwenye mapango kumchomoa Netanyahoo na waziri wake
Unadhani ikitokea total war marekani atakaa kuiangalia israel ikiwa inapigwa ?Hizi ni spiculation tu!
Hakuna kitu kama hicho! Isipokuwa kama Marekani itaingia katika vita hivyo ndipo Russia inaweza kuingia vitani.
Wakaamua kuhamia kwenye mapangoYote hayo alishayajua in advance ndiyo maana anafanya anayofanya kwa kujiamini
Walakole wa na walutheran ndo huwa wwnahadithiwa hivyohadi russia nae anaogopa israel tena? hizi taarifa huwa mnatoa wapi
Mmmmmh! Hizi takwimu umezipata wapi mkuu?Israel Isha prove weakness kuanzia October 7.
Vita ya miezi 9 tu ishawatia ulemavu wanajeshi 70,000.
OK. Kumbe ni hadithi na sio ukweli.Walakole wa na walutheran ndo huwa wwnahadithiwa hivyo
wazungu wanasema "too much"Walakole wa na walutheran ndo huwa wwnahadithiwa hivyo
Ngojea tuone ila nisiwe mnafiq linapokuja suala la israhell hua siwaamini wazungu woteNi kweli ila hapa nahisi Mrusi anamwaga ugali kwa sababu ya chokochoko za USA ambaye hawezi muacha Israel apambane pekee yake na yeye ataingia front. Chokochoko za USA ukraine zita mugharimu sana kwani Kuna mataifa ambayo yanakuja kuwa na nguvu kubwa sana za kijeshi kwa kuwezeshwa na Rusia
Mie hua naongea uhalisia wa majamboNaona tangu Iran awape aibu umeanza kutumia common sense badala ya mihemko ya kidini.
Inawezekana sababu siku mbili hizi za nyuma nilikuwa busy sana πHuwenda kampelekea ADS.
Ni kweli acha ubishi.Hizi ni spiculation tu!
Hakuna kitu kama hicho! Isipokuwa kama Marekani itaingia katika vita hivyo ndipo Russia inaweza kuingia vitani.
Mnaishia kufurahi hivi lakini hakuna kinachotokea... This time mtoto wa Yakobo kaamua kuwashikisha ukuta..Maandalizi ya kipigo ππππ¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨π¨Update: Emergency arms shipments to Iran!! The Russian Gelix Airlines, which specializes in arms transport, has just landed in Tehran with a high priority arms shipment!!
Ayatollah bomayeeNdege ya mizigo ya Jeshi la Russia inashusha zana za Kivita huko Tehran ikiwa ni katika kuhakikisha package ya kipigo kwenda Israel kinafanyika kinatekelezwa kiustadi..
A military transport aircraft operated by Russia's 'Gelix' airline, known for transporting weapons and military equipment, has been spotted for the first time flying from Moscow to Tehran.
Amid concerns over a potential Iranian military operation against Israel, it is expected that the aircraft transported weapons from Russia to Iran.
Myahudi huyu huyu alinyofolewa ktk ardhi yake na Jenerali Titi halafu akatangatanga duniani bila makao Kwa miaka 2000?Hata apeleke silaha Iran hawezi kumshinda myahudi kwenye uwanja wa vita
Kuita SMO ni arrogance ya wa Russia. Ile ni vita na inamdrain sana mrussia.Russia mwenyewe anapumua kwa mashini kutokana na special military operation