Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?

Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?

Yale yale ya N.Korea,una silaha nyingi za kazi gani wakati uchumi wako ni dhaifu na wananchi wako ni maskini.Russia anazidiwa na US kwa kila kitu na wala hawezi kulimganishwa hata kidogo.Kama USSR ilisambaratishwa na kufa itakuwa Russia?

Humjui russia wewe
 
Mnakera nyie mnaomhusudu usa
Siyo kuhusudu, fuatilia ukweli wa mambo.

Urusi hawezi kupigana na US. Wala US hawezi kufikiria kuishambulia Russia moja kwa moja.

Wataalam wa mambo ya kijeshi, wanasema kuwa imedhihirika wazi kuwa uwezo wa kijeshi wa Urusi kumbe upo chini kuliko ilivyokuwa ikiaminika.

Silaha mbalimbali za kijeshi za Urusi zilizoangamizwa au kutelekezwa nchini Ukraine zimeonekana kuwa na parts mbalimbali zilizotengenezwa US, tena nyingine kwa matumizi yasiyo ya kijeshi.
 
Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?
I truly hope not as the war wouldn’t be fought in US but in Europe.
But there is something that our American allies don’t really understand. Russia can’t be changed overnight with war or with the threat of war.
Russia can’t overnight become a democratic country like the US.
Russia can’t overnight abandon their political and economical system and open to the West that of course is expecting to exploit Russian resources.
And even if Putin was to die tonight, his successors won’t be democratic leaders.
Putin will eventually be substituted by Nikolai Patrushev, former KGB General
We have a lot of problems in our very own country... with clueless and underperforming political leaders... spiking prices... unemployment... poor education, etc
Why can't we figure out how to move our country forward instead of dwelling on historical Ukraine-Russian tensions?
 
Mnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
Mnamkuza sana US. Vi nchi vya ulaya vyote vinategemea gesi kutoka Russia. Ulishasikia asilimia 30 ya mafuta ya kula duniani yanatengenezwa Russia.
Ukraine wanazalisha theluthi moja ya ngano duniani. Russia ana impact kubwa kwenye kubalance bei ya mafuta duniani. Halafu anatokea pimbi anasema eti US anaweza kumpiga Russia ndani ya wiki. Vita usiiangalie kwenye silaha za kivita tu, uchumi pia ni silaha. Mmeona ilivyoathiri Bei za bidhaa duniani.
Vita ya mwisho alivyowahi kupigana US peke yake ni Vietnam tu. US hapigani vita peke yake, lazima aingize na washirika na anaangalia pia ataathirika au atafaidika vipi kiuchumi.


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
The time has proved that there's no country can confront the US.
Russia has already shaken by proxy war in Ukraine. Russia to invade US is suicide decision that can't be made now even putin and his asslickers know this sad truth.
I hate this colonial language. I'm looking to abandoning it.
 
What prevents the US to invade Russia and remove dictator Putin from power the way they removed dictator Saddam or Gaddafi?!
tumiagq akiki ushabiki unakuvua nguo tunaona ujinga wako wote , Kwann hawakuivamia Uganda au Armenia au India au Sudan , waje waivamie Russia , kila mgogoro una wahusika wake na maslai yake ,kuivamia Urusi ni kitu hata wazungu hawataki kwasababu za kiusalama , wazungu huwa hawataki migogoro ndani ya mipaka yao yaan kuwepo civil wars ndani ya mipaka yao na hiyo ndo sababu ya Turkey ya kumdanganya Erdogan kuwa watamuunga EU ili awasaidie kuzuia hali ya taharuki iliyopo Syria isiingie Europe so usitegemee ipo siku USA anaeza fanya hilo kosa la kuchochea vita ndani ya Ulaya sababu atajipotezea ushawishi kwa mataifa ya Ulaya , watu wanahisi USA anaiburuza EU ila hawajui kuwa USA anajitahidi kufanya wanayotaka EU ili na yy wafanye anachotaka ( hii inaitwa akili mazee ) hiki kitu Putin / Urusi imeshindwa na ndio maana Ulaya hawamkubali Putin coz ana chembe chembe za Hitler , Napoleon na akina Loiis IV , wazungu hawapend mtu anajiangalia yy tu "they like a respect I respect friend "
 
Vita ya ukraine ni jina tu, pale Russian anapambana na dunia. NATO wapo hapo kuaklkisha Russia anashindwa hii vita vibaya sana lakini kwa bahati mbaya sana Russia ana advance kila siku anaimega Ukraine kimasihala na mtake msitake military operation will be succeeded
ndo nyinyi mnasemaga USA aliivamia Libya , mnapenda udaku kuliko ukwel
 
Mnamkuza sana US. Vi nchi vya ulaya vyote vinategemea gesi kutoka Russia. Ulishasikia asilimia 30 ya mafuta ya kula duniani yanatengenezwa Russia.
Ukraine wanazalisha theluthi moja ya ngano duniani. Russia ana impact kubwa kwenye kubalance bei ya mafuta duniani. Halafu anatokea pimbi anasema eti US anaweza kumpiga Russia ndani ya wiki. Vita usiiangalie kwenye silaha za kivita tu, uchumi pia ni silaha. Mmeona ilivyoathiri Bei za bidhaa duniani.
Vita ya mwisho alivyowahi kupigana US peke yake ni Vietnam tu. US hapigani vita peke yake, lazima aingize na washirika na anaangalia pia ataathirika au atafaidika vipi kiuchumi.


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
kwan ww hii android yako unahis katengeneza nan , USA ndo anakufany usionekane wa ujima ww na mashoga zako Urusi
 
I hate this colonial language. I'm looking to abandoning it.
ni jins ulivyolemazwa na ant colonial education na hii anti colonial education inatupumbaza sana akina China washajikomboa kiakili na wanashirikiana na hao unaita mabeberu sababu wanajua hiyo ilikuwa history tu na km kawaida yetu the strongest atakuwa na ushawishi kwa the weakest so there is no way utabadili past kikubwa ni kubadili future ,ss wale walev wa ant colonial education mpk leo bado wapo kweny colonial mindset up kwa kuamini tunapaswa kupinga kila kitu cha mzungu huku tunatumia technology zao
 
I'm restlessly waiting for this moment where US will prove it's military mightiness. Russia will be taught unforgettable lesson.
Waiting for the moment that US will be fuckedd up to the core! No more American stories again ni kichapo tu sahizo ni just pressing the buttons. Kwa jeshi la kitaa US anakalishwa mapema sana.

Aje yeye kama yeye bila washirika wake aone mziki maana sahizi tu katuma sana mamluki wamesanda Ukraine. Sasa aje yeye kama yeye afuliwe vizuri tu!
 
Yale yale ya N.Korea,una silaha nyingi za kazi gani wakati uchumi wako ni dhaifu na wananchi wako ni maskini.Russia anazidiwa na US kwa kila kitu na wala hawezi kulimganishwa hata kidogo.Kama USSR ilisambaratishwa na kufa itakuwa Russia?
Aliefanya huo uhuni ni ujerumani US hana hicho kiburi yani bila TAG aingii kwenye mapigano. Aje yeye kama yeye auone mziki wake.

Russia ilishajifunza wayback na wali retaliate vibaya mno. Soma operation Barbarossa
 
Asilimia 90 ya nyuklia za urusi zilitengenezwa enzi za USSR na zinakaribia kuexpire.
Sema wewe ni zuzu unajua maana ya vichwa vya nuclear ? Vichwa vya Nuclear inaweza kuwa ya zamani ila kombora la kupachikwa hivyo vichwa ndiyo za kisasa mlipuko wa nuclear head ni mlipuko uleule ila tec ya kubeba hizo nuclear ndiyo zinazingatiwa zaidi
 
Mnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.

huyo mwamerica pamoja na Nato walimshindwa afghanstan wamerika na nato wameuliwa kama kuku neda euro ukaone makaburi yao au nenda america ukaona walipozikwa wanajeshi wa marekani utalia. mwisho wa siku talabani anatawala tena.
 
Wataalam wa masuala ya vita, wanasema kuwa uwezo wa Urusi kijeshi ulikuzwa sana kuliko uhalisia.
Sasa kwa usa [emoji631] ndiyo zaidi USA uwezo wake wa kupigana na nchi yenye kuweza kulipua miundombinu yake kama satelite viwanda nk ,hapo utagundua usa ni dhaifu sana ukweli ni kwamba USA [emoji631] aina nguvu ya kupigana na urussi kwa namna yoyote maana usa [emoji631] inategemea sana tec kubwa kama satelite ambazo mrusi atazilipua siku moja tu baada ya vita kuanza
 
Naona proNato baada ya kuchakazwa kule kwenye ule uzi maalum wamekuja kujazana huku 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom