banburydude
Member
- Jul 8, 2019
- 54
- 72
That’s time when the rest of the World will see the so called Weapon of Mass Destruction….. the like of Intercontinental Ballistic Missiles etc….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka usikereke usiwe unatembelea International forum,lakini kama kila mara macho kodo unasoma hizi nyuzi,jiandae kisaikolojia kukereka zaidi.Hatuwezi wote tukawa na mawazo ya kizamani ya kikomunist.Mnakera nyie mnaomhusudu usa
Kwani kuna nini cha zaidi Russia? Ni moja kati ya mataifa 10 yenye nguvu za kiuchumi Duniani, jibu ni hayumo.Sasa huo Usupapawa anautoa wapi? Hizo silaha anazokaa kila siku anapigia watu kelele si alizichukua baada ya USSR kusambaratika.Sasa Urusi kama Nchi ina nini cha ziada,usiniambie maswala ya gesi na mafuta,maana hayupo nayo peke yake hapa Duniani na hata kama anayo,mbona hayamfanyi sasa kuwa Taifa lenye nguvu za kiuchumi Duniani.Nchi inazidiwa hadi na Japan.Humjui russia wewe
Aisee wewe hunaga maarifaKwani kuna nini cha zaidi Russia? Ni moja kati ya mataifa 10 yenye nguvu za kiuchumi Duniani, jibu ni hayumo.Sasa huo Usupapawa anautoa wapi? Hizo silaha anazokaa kila siku anapigia watu kelele si alizichukua baada ya USSR kusambaratika.Sasa Urusi kama Nchi ina nini cha ziada,usiniambie maswala ya gesi na mafuta,maana hayupo nayo peke yake hapa Duniani na hata kama anayo,mbona hayamfanyi sasa kuwa Taifa lenye nguvu za kiuchumi Duniani.Nchi inazidiwa hadi na Japan.
Ndiyo maana hii ikaitwa International Forum,hayo maswala ya nyumbani,nenda kajikite kule kwa Jukwaa la Siasa,utoe madini yako jinsi ya kutukwamua.We have a lot of problems in our very own country... with clueless and underperforming political leaders... spiking prices... unemployment... poor education, etc
Why can't we figure out how to move our country forward instead of dwelling on historical Ukraine-Russian tensions?
If they are waiting that then they are stupidI real think the same, US waiting for Russia to get exhausted
Angekuwa amejifunza angekuwa ni Taifa lenye nguvu zaidi katika nyanja zote.Aliefanya huo uhuni ni ujerumani US hana hicho kiburi yani bila TAG aingii kwenye mapigano. Aje yeye kama yeye auone mziki wake.
Russia ilishajifunza wayback na wali retaliate vibaya mno. Soma operation Barbarossa
And which native language do you prefer?I hate this colonial language. I'm looking to abandoning it.
Eti baada ya kuchakazwa,unadhani vita inapiganwa hapa kwa comments,wenye akili zao wameamua kuwaachieni mflood macomments kibao lakini yasiyo kuwa na maana kwakuwa ndiyo njia ya kujipa ahueni baada ya Putin kudharirika Ukraine.Sisi tunaangalia kinachoendelea Ukraine na leo ni siku ya 100 ngoma ndiyo kwanza inaanza kupigwa.Hakuna blah blah za special operation ya masaa 72.Haya nenda kaseme kuwa tupo tumejazana hapa waje watupige tena na vita ya comments.Naona proNato baada ya kuchakazwa kule kwenye ule uzi maalum wamekuja kujazana huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni wa kupuuzwa tu maana unajua neno moja tu "nonsense" vipi leo mbona umesahau kulitumia.Aisee wewe hunaga maarifa
Hii lugha ya malkia kumbe inatutesa wengi.If they are waiting that then they are stupid
Then you can't change anything.I hate this colonial language. I'm looking to abandoning it.
Ahahah..hard feelingsEti baada ya kuchakazwa,unadhani vita inapiganwa hapa kwa comments,wenye akili zao wameamua kuwaachieni mflood macomments kibao lakini yasiyo kuwa na maana kwakuwa ndiyo njia ya kujipa ahueni baada ya Putin kudharirika Ukraine.Sisi tunaangalia kinachoendelea Ukraine na leo ni siku ya 100 ngoma ndiyo kwanza inaanza kupigwa.Hakuna blah blah za special operation ya masaa 72.Haya nenda kaseme kuwa tupo tumejazana hapa waje watupige tena na vita ya comments.
Kwa maoni haya maana yake Afghanistan wana nguvu kijeshi kuliko RussiaMnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
Taliban wameachwa sasa hivi wananyanyasa raia kule. Marekani anasaidia dunia kuwa na amani.Kwa maoni haya maana yake Afghanistan wana nguvu kijeshi kuliko Russia
Ndiyo amesaidia kule Iraq,Libya na kwinginekoTaliban wameachwa sasa hivi wananyanyasa raia kule. Marekani anasaidia dunia kuwa na amani.
🤣🤣🤣Majibu mtayapata mwaka huu nani mbabe wa Dunia.Mnapenda sana kumkuza Russia. Hana uwezo wa kupambana na US hata kwa wiki moja tu.
You know nothing about battle field broIf they are waiting that then they are stupid
Eeh maana unatutishia eti tumekimbia,utadhani hao walio kwa huo uzi hata wanaweza kushika goboleAhahah..hard feelings