Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?

Russia could go to war with the USA any day now. What are your thoughts on this?

Russian won't go with em in war.. they will just fell they are wasting their time. They will just use One bomb.... USA have to be very careful
Lugha ya malkia ni janga la Kitaifa kumbe
 
Ndiyo maana hii ikaitwa International Forum,hayo maswala ya nyumbani,nenda kajikite kule kwa Jukwaa la Siasa,utoe madini yako jinsi ya kutukwamua.
You might be right... but thinking or talking about Russia vs Ukraine while back home your people experience worst cases of injustice, poverty, unemployment, inequity, hunger, sicknesses, etc doesn't make any sense to me.
Insanity!
Charity and the duty of care should start from home!
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] unaikuza nchi ambayo ndio inayo ongoza kwa kuwa na silaha nyingi za nuclear...hivi hizi ni akili za wapi
Ukibishana nae huyo lazima upoteze maji mwilini coz hakuna akielewacho
 
Asilimia 90 ya nyuklia za urusi zilitengenezwa enzi za USSR na zinakaribia kuexpire.
Una uhakika boss? Tuletee ushahidi..
Nb pamojA na hili nikukumbushe TU Russia s Nuclear bombers TU 95 Ni ya mwaka 1955 wakati American nuclear bombers Kama b52 stratofo tress Ni ya mwaka 1952 but zote Ni mashine za kazi baada ya miaka karibu 65 Sasa.
Pia ndegevita za kirusi Kama su 27 su 34 su 25 na mig 31 Ni zao la vitabaridi. Huku mifano kutoka us Ni f16, f 15 ndegevita mahiri kutoka cold war lakini hatari mpaka keshokutwa.
Unajua nataka nikukumbushe Nini anguko la Us limesababisha si Russia TU hata NATO na Us kupunguza utengenezaji katika wingi na ushindani was wingi was silaha mpya baada ya Keisha kws Vita baridi
 
Mnamkuza sana US. Vi nchi vya ulaya vyote vinategemea gesi kutoka Russia. Ulishasikia asilimia 30 ya mafuta ya kula duniani yanatengenezwa Russia.
Ukraine wanazalisha theluthi moja ya ngano duniani. Russia ana impact kubwa kwenye kubalance bei ya mafuta duniani. Halafu anatokea pimbi anasema eti US anaweza kumpiga Russia ndani ya wiki. Vita usiiangalie kwenye silaha za kivita tu, uchumi pia ni silaha. Mmeona ilivyoathiri Bei za bidhaa duniani.
Vita ya mwisho alivyowahi kupigana US peke yake ni Vietnam tu. US hapigani vita peke yake, lazima aingize na washirika na anaangalia pia ataathirika au atafaidika vipi kiuchumi.


Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hata Vietnam kulikua na wafaransa walioamua kukimbia baada ya kichapo
 
Ngoja mirusi ya Buza na mimarekani ya Ileje ije
 
Nyamizi umeona msumari wangu wa Malkia? Na wewe ungechomeka wako
Mimi lugha ya Malkia naiogopa maana sikuzaliwa pale Windsor castle,nilisoma kayumba.Lakini pamoja na kutokuifahamu kwangu vizuri pale juu wewe umeivunja vunja sana lugha ya wenyewe.
 
You might be right... but thinking or talking about Russia vs Ukraine while back home your people experiences worst cases of injustice, poverty, unemployment, inequity, anger, etc doesn't make any sense to me.
Insanity!
Nyamizi si umeona kama JP Omuga ung'eng'e ulivyooka Sasa wewe baki huko Kwa
Mimi lugha ya Malkia naiogopa maana sikuzaliwa pale Windsor castle,nilisoma kayumba.Lakini pamoja na kutokuifahamu kwangu vizuri pale juu wewe umeivunja vunja sana lugha ya wenyewe.
Kunivunja ndio Hadi yetu " you kwiw"
 
Taliban wameachwa sasa hivi wananyanyasa raia kule. Marekani anasaidia dunia kuwa na amani.
Nilichomaanisha ni kuwa, kama US kaspend 20 years kupambana Afghanistan ila mwisho wa siku kashindwa vita na kawaachia nchi Taleban na hapa unasema Russia hawezi kumaliza wiki kwenye vita na US atakuwa kachakazwa si maana yake Afghanistan wana nguvu kijeshi kuliko Russia!
 
Back
Top Bottom